siku hizi hasalimii

siku hizi hasalimii

Stukaaaa!!!! Mtego wa mama mwenye nyumba huo!!! shauri yako. Usirudi hapa jamvini kuanza kulia lia baada ya kumgegeda binti wa mama mwenye nyumba.

Ahaaaaaaaaa,teh teh teh teh teh
 
wakuu naishi nyumba ya kupanga kuna binti wa mama mwenye nyumba alikuwa ananitupia shikamoo kila akiniona lakini baada ya wiki mbili hanisalimii na tukionana ni full kurembua nikajaribu kuuliza wadau hii nini au kuna nini wadau wakasema huyo anataka dushelele je ni kweli binti akiwa anakusalimia mara salamu ikakata basi ni dalili tosha anataka dushelele?
Connecting... Loading....
 
sasa nami pia nmeelewa kwanini sasa kuna dv 5 sababu ni watu kama wewe akili ndogo mno kama tone la maji baharini

aya division 1 mkuu ila maisha ya yamekushinda na kuleta hoja zisizo kuwa na kichwa wala miguuu!!!!!!!!!!!!
 
aya division 1 mkuu ila maisha ya yamekushinda na kuleta hoja zisizo kuwa na kichwa wala miguuu!!!!!!!!!!!!

naona upeo wako ndo umegota hapo ukizidi hapo utakuwa over loaded.....maana unakurupuka tu we kapuku maisha yamenishinda ni PM uje ushuhudie ----- ww nna elimu ya kutosha pia nna kazi inayoeleweka ya kuweza chukua mpaka mkeo au dada yako pia nna uwezo wa kukuajiri ww kama huna kazi rofa ww.
 
aya division 1 mkuu ila maisha ya yamekushinda na kuleta hoja zisizo kuwa na kichwa wala miguuu!!!!!!!!!!!!

ma.la.ya ww nipo kwangu na nimejitosheleza kwa kila kitu karibu japo nawe unukie kama waridi nyie si mnakula vya watu kisha mnasepa badala ya kutafuta sasa mtajeruhiwa na kuuawa na bastora mpaka mshike adabu kwenye vitu vya watu
 
ahahaha hahahaha Heaven mbavu zangu mie

kwani umeshare na nani hizo mbavu? mtoto wa kiume unashadadia misemo ya wanawake jaruba wewe kanyaboya la mwisho kabisa
 
ma.la.ya ww nipo kwangu na nimejitosheleza kwa kila kitu karibu japo nawe unukie kama waridi nyie si mnakula vya watu kisha mnasepa badala ya kutafuta sasa mtajeruhiwa na kuuawa na bastora mpaka mshike adabu kwenye vitu vya watu

wewe mtakatifu wa bwana hongera....... bikira
 
wewe mtakatifu wa bwana hongera....... bikira

Asante kama umetambua mimi ni mtakatifu wa Bwana.......kuniita bikira haiondoi uanaume wangu kama unataka huduma njoo karibia kwangu nkuoneshe kazi.....by the way ngoja nkuache nisijeharibu kazi za watu hapa. karibu kwangu mi naishi boko ni pm.
 
Asante kama umetambua mimi ni mtakatifu wa Bwana.......kuniita bikira haiondoi uanaume wangu kama unataka huduma njoo karibia kwangu nkuoneshe kazi.....by the way ngoja nkuache nisijeharibu kazi za watu hapa. karibu kwangu mi naishi boko ni pm.

asante sana mkuuu ... siku njema
 
Haya na wote ambao walikuwa wanaambiwa shikamoo na sasa hawasalimiwi waamke.
Kwa maana sababu nyingine kama vile alikuwa hajakuzoea na sasa kakuzoea na kwa uelewa wake shikamoo haihusiki-haina nafasi katika jukwaa hili.
Na pia labda kakuona wewe hupendi sana shikamoo.
Na labda kwa akili yake kajiona kakua na hahitaji kutoa shikamoo kwa watu kama wewe.
and so on...
 
Haya na wote ambao walikuwa wanaambiwa shikamoo na sasa hawasalimiwi waamke.
Kwa maana sababu nyingine kama vile alikuwa hajakuzoea na sasa kakuzoea na kwa uelewa wake shikamoo haihusiki-haina nafasi katika jukwaa hili.
Na pia labda kakuona wewe hupendi sana shikamoo.
Na labda kwa akili yake kajiona kakua na hahitaji kutoa shikamoo kwa watu kama wewe.
and so on...

uwenda uko sawa mkuu.
 
hope1985 inaonesha unahasira sana, bado hujayajua mapenz alafu unaongea mambo ya kiwivuwivu. am a psychologist. pole sana
 
wakuu naishi nyumba ya kupanga kuna binti wa mama mwenye nyumba alikuwa ananitupia shikamoo kila akiniona lakini baada ya wiki mbili hanisalimii na tukionana ni full kurembua nikajaribu kuuliza wadau hii nini au kuna nini wadau wakasema huyo anataka dushelele je ni kweli binti akiwa anakusalimia mara salamu ikakata basi ni dalili tosha anataka dushelele?

Mambo ya facebook haya mkuu.
Huku ni kwa ma great thinker
Unatukana hovyo kila mtu ili iweje na wakat ni kweli thread uliyoianzisha haina mashiko
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom