Na hilo nalo ni la kuanzisha thread
wakuu naishi nyumba ya kupanga kuna binti wa mama mwenye nyumba alikuwa ananitupia shikamoo kila akiniona lakini baada ya wiki mbili hanisalimii na tukionana ni full kurembua nikajaribu kuuliza wadau hii nini au kuna nini wadau wakasema huyo anataka dushelele je ni kweli binti akiwa anakusalimia mara salamu ikakata basi ni dalili tosha anataka dushelele?
kama ww unavyotatuliwa malinda maana ww mpaka mtu akugeuze pande zote ka samaki ndo huwezi muita punga....ma.la.ya ww mla vya watu sasa hivi ni bastora tu
Hayatuhusu. This is your private business. Nenda kamuulize huyo binti kwa nini anafanya hivyo.
Ametushangaza tulio wengi !
Hivi ukienda chooni kwa bahati mbaya
uk*nya kando ni kuja hapa kuanzisha
thread kweli ?
kubwa jinga la mwisho wewe kwanini usipuuze dv 5 ww.
Na hilo nalo ni la kuanzisha thread
wakuu naishi nyumba ya kupanga kuna binti wa mama mwenye nyumba alikuwa ananitupia shikamoo kila akiniona lakini baada ya wiki mbili hanisalimii na tukionana ni full kurembua nikajaribu kuuliza wadau hii nini au kuna nini wadau wakasema huyo anataka dushelele je ni kweli binti akiwa anakusalimia mara salamu ikakata basi ni dalili tosha anataka dushelele?