Hakuangalia yote haya wakati huo alitaka tu kuwa member wa WCB. Sidhani hata kama aliwaza kusomewa mkataba na mwanasheria kabla ya kudondosha saini.WCB na mikataba ya ajabu: Ndio maana muziki wa Tanzania hauendelei
Ukiambiwa Harmonize alikuwa amesainiwa kwa miaka 15 masikio yatapokea hiyo sauti lakini akili itakataa kuamini au kuelewa hicho ilichopokea toka masikioni. Yani mkataba wa kazi wenye muda wa MUONGO NA NUSU? Tungekuwa ulaya tungeuita ni "CONTRACT FROM HELL". Tuseme alisainiwa ana miaka 20, ina...www.jamiiforums.com
Asante madam mboyoyo zishakuwa nyingi.Hakuangalia yote haya wakati huo alitaka tu kuwa member wa WCB. Sidhani hata kama aliwaza kusomewa mkataba na mwanasheria kabla ya kudondosha saini.
Internet never forgetsHakuangalia yote haya wakati huo alitaka tu kuwa member wa WCB. Sidhani hata kama aliwaza kusomewa mkataba na mwanasheria kabla ya kudondosha saini.