Gwandalized
JF-Expert Member
- Jan 17, 2012
- 219
- 44
natamani sana niwe hai siku chadema ikichukua nchi hii,nishuhudie yafuatayo
1.hakuna UFISADI kabisa
kila sheria itafuatwe,mesheni town zote zifungwe,short cut zote zifungwe tushuhudie mafisadi wote wakiburuzwa mahakamani
2.Migomo yote kwishney
mishahara yote juu,madokta,walimu,migomo yote ndotoni,posho za maofisi zifungwe
3.maisha bora
kila mtaanzania atakuwa katika nyumba nzuri, shule kibao,mfuko wa cement buku 5 tu,shuleni walimu,vitabu kibao,elimu bora kwa kila mwanafunzi,umeme bei poa,mafuta bei poa
kila mwanafunzi atafaulu,mikopo chuo ya kufa mtu,elimu bure
4. Usafiri
mpaka kule kwetu mbwinde lami tupu,nauli bei chee,ndege za serikali kibao,treni za uhakika,rais haendi nje
chadema oyeee
1.hakuna UFISADI kabisa
kila sheria itafuatwe,mesheni town zote zifungwe,short cut zote zifungwe tushuhudie mafisadi wote wakiburuzwa mahakamani
2.Migomo yote kwishney
mishahara yote juu,madokta,walimu,migomo yote ndotoni,posho za maofisi zifungwe
3.maisha bora
kila mtaanzania atakuwa katika nyumba nzuri, shule kibao,mfuko wa cement buku 5 tu,shuleni walimu,vitabu kibao,elimu bora kwa kila mwanafunzi,umeme bei poa,mafuta bei poa
kila mwanafunzi atafaulu,mikopo chuo ya kufa mtu,elimu bure
4. Usafiri
mpaka kule kwetu mbwinde lami tupu,nauli bei chee,ndege za serikali kibao,treni za uhakika,rais haendi nje
chadema oyeee