Siku chedema ikichukua nchi

Gwandalized

JF-Expert Member
Jan 17, 2012
219
44
natamani sana niwe hai siku chadema ikichukua nchi hii,nishuhudie yafuatayo
1.hakuna UFISADI kabisa
kila sheria itafuatwe,mesheni town zote zifungwe,short cut zote zifungwe tushuhudie mafisadi wote wakiburuzwa mahakamani
2.Migomo yote kwishney
mishahara yote juu,madokta,walimu,migomo yote ndotoni,posho za maofisi zifungwe
3.maisha bora
kila mtaanzania atakuwa katika nyumba nzuri, shule kibao,mfuko wa cement buku 5 tu,shuleni walimu,vitabu kibao,elimu bora kwa kila mwanafunzi,umeme bei poa,mafuta bei poa
kila mwanafunzi atafaulu,mikopo chuo ya kufa mtu,elimu bure
4. Usafiri
mpaka kule kwetu mbwinde lami tupu,nauli bei chee,ndege za serikali kibao,treni za uhakika,rais haendi nje

chadema oyeee
 
natamani sana niwe hai siku chadema ikichukua nchi hii,nishuhudie yafuatayo
1.hakuna UFISADI kabisa
kila sheria itafuatwe,mesheni town zote zifungwe,short cut zote zifungwe tushuhudie mafisadi wote wakiburuzwa mahakamani
2.Migomo yote kwishney
mishahara yote juu,madokta,walimu,migomo yote ndotoni,posho za maofisi zifungwe
3.maisha bora
kila mtaanzania atakuwa katika nyumba nzuri, shule kibao,mfuko wa cement buku 5 tu,shuleni walimu,vitabu kibao,elimu bora kwa kila mwanafunzi,umeme bei poa,mafuta bei poa
kila mwanafunzi atafaulu,mikopo chuo ya kufa mtu,elimu bure
4. Usafiri
mpaka kule kwetu mbwinde lami tupu,nauli bei chee,ndege za serikali kibao,treni za uhakika,rais haendi nje

chedema oyeee

Hicho chama ni lazima kijisajiri kwanza ili kiweze kuchukua nchi, vinginevyo hizo ni ndoto za alinacha
 
natamani sana niwe hai siku chadema ikichukua nchi hii,nishuhudie yafuatayo
1.hakuna UFISADI kabisa
kila sheria itafuatwe,mesheni town zote zifungwe,short cut zote zifungwe tushuhudie mafisadi wote wakiburuzwa mahakamani
2.Migomo yote kwishney
mishahara yote juu,madokta,walimu,migomo yote ndotoni,posho za maofisi zifungwe
3.maisha bora
kila mtaanzania atakuwa katika nyumba nzuri, shule kibao,mfuko wa cement buku 5 tu,shuleni walimu,vitabu kibao,elimu bora kwa kila mwanafunzi,umeme bei poa,mafuta bei poa
kila mwanafunzi atafaulu,mikopo chuo ya kufa mtu,elimu bure
4. Usafiri
mpaka kule kwetu mbwinde lami tupu,nauli bei chee,ndege za serikali kibao,treni za uhakika,rais haendi nje

chadema oyeee



Kweli jf imevamiwa! Sidhani kama GT anaweza kuwa na mawazo ya kijinga nanna hii! You are in a wrong place sister!
 
Gwandalised... Naomba nitoe pole kama una hopes hizo hapo ulizoorodhesha. Ni kweli unafuatilia jinsi hali halisi ya Kisiasa na Uongozi katika kila nyanja na kila sector yenye mahusiano moja kwa moja na serkali? Kama kweli wafuatilia utatambua kua Uongozi ujauo, uwe umetoka CCM ama CDM wana kazi kubwa saana na ya ziada kuweza kweli kurudisha inchi katika mstari. Hayo mambo sio ya siku moja na wala sio ya mwaka mmoja. Tanzania tuna hali mbaya mno, na hio hali haitaondolewa na uongozi tu! Let alone uongozi mpya, Watanzania inabidi watambue kua they are part of change, na hio change itakua possible pale tu watapo jihusisha... hio ikiambata na time.... Hayo hulioorodhesha hayawi controlled na the name of the Government/leadership in question. Bali yanakua controlled na the will and ability ya Viongozi wa juu, wa kati, wa chini na wananchi wake.... Tanzania; We have a long way to go....
 
natamani sana niwe hai siku chadema ikichukua nchi hii,nishuhudie yafuatayo
1.hakuna UFISADI kabisa
kila sheria itafuatwe,mesheni town zote zifungwe,short cut zote zifungwe tushuhudie mafisadi wote wakiburuzwa mahakamani
2.Migomo yote kwishney
mishahara yote juu,madokta,walimu,migomo yote ndotoni,posho za maofisi zifungwe
3.maisha bora
kila mtaanzania atakuwa katika nyumba nzuri, shule kibao,mfuko wa cement buku 5 tu,shuleni walimu,vitabu kibao,elimu bora kwa kila mwanafunzi,umeme bei poa,mafuta bei poa
kila mwanafunzi atafaulu,mikopo chuo ya kufa mtu,elimu bure
4. Usafiri
mpaka kule kwetu mbwinde lami tupu,nauli bei chee,ndege za serikali kibao,treni za uhakika,rais haendi nje

chadema oyeee

ndoto zinakudanganya
 
natamani sana niwe hai siku chadema ikichukua nchi hii,nishuhudie yafuatayo
1.hakuna UFISADI kabisa
kila sheria itafuatwe,mesheni town zote zifungwe,short cut zote zifungwe tushuhudie mafisadi wote wakiburuzwa mahakamani
2.Migomo yote kwishney
mishahara yote juu,madokta,walimu,migomo yote ndotoni,posho za maofisi zifungwe
3.maisha bora
kila mtaanzania atakuwa katika nyumba nzuri, shule kibao,mfuko wa cement buku 5 tu,shuleni walimu,vitabu kibao,elimu bora kwa kila mwanafunzi,umeme bei poa,mafuta bei poa
kila mwanafunzi atafaulu,mikopo chuo ya kufa mtu,elimu bure
4. Usafiri
mpaka kule kwetu mbwinde lami tupu,nauli bei chee,ndege za serikali kibao,treni za uhakika,rais haendi nje

chadema oyeee

Doing all these things need years
But for now on we need at least another part that can build the foundation to those mentioned achievement
 
lets hope, hata mimi natamani
najua ipo siku ambayo hakuna aitarajiae lakini ipo
chadema watachukua nchi
watu wote watabaki midomo wazi kama vile wanajivua magamba
 
Gwandalised... Naomba nitoe pole kama una hopes hizo hapo ulizoorodhesha. Ni kweli unafuatilia jinsi hali halisi ya Kisiasa na Uongozi katika kila nyanja na kila sector yenye mahusiano moja kwa moja na serkali? Kama kweli wafuatilia utatambua kua Uongozi ujauo, uwe umetoka CCM ama CDM wana kazi kubwa saana na ya ziada kuweza kweli kurudisha inchi katika mstari. Hayo mambo sio ya siku moja na wala sio ya mwaka mmoja. Tanzania tuna hali mbaya mno, na hio hali haitaondolewa na uongozi tu! Let alone uongozi mpya, Watanzania inabidi watambue kua they are part of change, na hio change itakua possible pale tu watapo jihusisha... hio ikiambata na time.... Hayo hulioorodhesha hayawi controlled na the name of the Government/leadership in question. Bali yanakua controlled na the will and ability ya Viongozi wa juu, wa kati, wa chini na wananchi wake.... Tanzania; We have a long way to go....
sisi tunaimani nchi itanyooka uwajibikaji utakuwepo kwa hali ya juu
 
Gwandalized; Naomba nikuhakikishie kwamba kuota ni haki ya msingi. Unafanya vema kuitumia. Kwa bahati nzuri si kila ndoto huwa kweli. Thank God it won't happen. You can keep on dreaming dear.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom