Siku CHADEMA ikifa

Siku CHADEMA ikifa

Naahidi kutoa Shilingi za Kitanzania Laki 5,kama Rambirambi zangu,siku ya huo Msiba.
 
200445_239113172888257_1958812821_n.jpg

- Brother unataka nilete zile picha za Sabodo anavyowapa hela viongozi wako?

le mutuz
 
kwanza we ni chizi unafikiria kwa kutumia ------, ndo maana mnaendelea kuwaibia watanzania kwa kufikiri ni wajinga na wenye uelewa mdogo.we ni mpuuzi kwanza huna akili, kafie mbali
 
Ni mafikira tu, kwa hali ilivyo ni rahisi sana CCM kufa na mambo yakaendelea kuwa mazuri kwa nchi hii, lakini ni hatari sana kwa CDM kufa maana maisha TZ yatabadilika kwa kasi ya ajabu ikiwemo matabaka kuongezeka na wizi kuwa haki ya watumishi wa serikali na viongozi wa CCM. Chukua muda kuomba na kushiriki kuhakikisha CDM inakuwepo na inakuwa na nguvu za umma kila jua linapowaka. KIBOKO CHA MAFISADI, TUMAINI JIPYA LA TANZANIA MPYA.
 
you have said it all mkuu.cdm ikifa tutauzwa hata sisi na wanetu.
 
nilitegemea kwenye maelezo nione ni jinsi gani CCM haitabaki... labda ungesema Tz haitabaki
 
Siamini chama chochote cha siasa ila kwa sasa CDM inaonyesha uzalendo kuliko hawa Mafisadi wameshiba mpaka wanacheua pumba

Sent from BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Chadema ndio tumaini pekee lililo bakia Tanzania :target:
 
you have said it all mkuu.cdm ikifa tutauzwa hata sisi na wanetu.

Tushauzwa siku nyingi!... Unajua kilichomo kwenye mikataba 16 ya china iliyosainiwa siku moja? .. Obama kasaini mikataba mingapi?... Bush anafuata nini Tanzania?.. Ni Mengi ya kujiuliza. CCM ni janga la taifa!
 
Ni mafikira tu, kwa hali ilivyo ni rahisi sana CCM kufa na mambo yakaendelea kuwa mazuri kwa nchi hii, lakini ni hatari sana kwa CDM kufa maana maisha TZ yatabadilika kwa kasi ya ajabu ikiwemo matabaka kuongezeka na wizi kuwa haki ya watumishi wa serikali na viongozi wa CCM. Chukua muda kuomba na kushiriki kuhakikisha CDM inakuwepo na inakuwa na nguvu za umma kila jua linapowaka. KIBOKO CHA MAFISADI, TUMAINI JIPYA LA TANZANIA MPYA.
Baada ya kuombea Amani unakaa kuomba CDM idumu kwani ni chama toka mbinguni? Wee akili huna unaandika utumbo kabisa ili mradi hesabu yako ya siku ikae vyema pale mtaa wa ufipa. Ombea CCM iendelee kuongoza na siyo CDM kwani anguko la CDM ni lazima na halina mjadala. Nadhani wee utakufa bila hata kuona CDM inaongoza nchi na Vitu kuu vyako kamwe hawataona huo ndio ukweli.
 
Tushauzwa siku nyingi!... Unajua kilichomo kwenye mikataba 16 ya china iliyosainiwa siku moja? .. Obama kasaini mikataba mingapi?... Bush anafuata nini Tanzania?.. Ni Mengi ya kujiuliza. CCM ni janga la taifa!
Hamuwezi kuchukua nchi hii bado sana CDM. Ni chama cha kichanga sana. Viongozi wenu wengi wao ni wakabila, wadini na wakanda sana. Hiki chama ni Kama chama cha ukoo mfano Lissu yupo na dada yake bungeni, Lema yupo pia na dada yake, Mtei kaweka mkwe wake kabisa kukata mzizi wa fitna yaan Hiki chama Hiki mmmmmh mmmh
 
Siamini chama chochote cha siasa ila kwa sasa CDM inaonyesha uzalendo kuliko hawa Mafisadi wameshiba mpaka wanacheua pumba

Sent from BlackBerry 9800 using JamiiForums

Watu wengine bana sasa CDM ni chama cha kikabila? Hujuwi ulitendalo na unachokisema, wee ni wale wale graduate wa kile chuo chetu kile cha mwanza? Maana duu kazi ipo sana pale
 
nilitegemea kwenye maelezo nione ni jinsi gani CCM haitabaki... labda ungesema Tz haitabaki

Naaam kwani hizo ni ndoto za alinachi kufikiria mikono itaanguka kumbe lol.....CCM ni chama kubwa na hakuna chama dume Kama nambari one
 
Hamuwezi kuchukua nchi hii bado sana CDM. Ni chama cha kichanga sana. Viongozi wenu wengi wao ni wakabila, wadini na wakanda sana. Hiki chama ni Kama chama cha ukoo mfano Lissu yupo na dada yake bungeni, Lema yupo pia na dada yake, Mtei kaweka mkwe wake kabisa kukata mzizi wa fitna yaan Hiki chama Hiki mmmmmh mmmh

Tushauzwa siku nyingi!... Unajua kilichomo kwenye mikataba 16 ya china iliyosainiwa siku moja? .. Obama kasaini mikataba mingapi?... Bush anafuata nini Tanzania?.. Ni Mengi ya kujiuliza. CCM ni janga la taifa!
 
Ni mafikira tu, kwa hali ilivyo ni rahisi sana CCM kufa na mambo yakaendelea kuwa mazuri kwa nchi hii, lakini ni hatari sana kwa CDM kufa maana maisha TZ yatabadilika kwa kasi ya ajabu ikiwemo matabaka kuongezeka na wizi kuwa haki ya watumishi wa serikali na viongozi wa CCM. Chukua muda kuomba na kushiriki kuhakikisha CDM inakuwepo na inakuwa na nguvu za umma kila jua linapowaka. KIBOKO CHA MAFISADI, TUMAINI JIPYA LA TANZANIA MPYA.

Na wee Fikirikwanza Kama jina lako lisemavyo Kabla hajapost huu utumbo wako
 
Back
Top Bottom