Siku ambayo sitaisahau

Siku ambayo sitaisahau

Pole mayo...

Uamuz ni wako EITHER kumfikiria mpenz wako na kuumia AU kumshukuru Mungu kwa kukuonesha tabia ya mpenzi wako na kuendelea na maisha kama kawaida....

Think positive#
not only positive but also negative should be concerned!
 
Ilikuwa ni siku ya alhamisi, mpenzi wangu alinipia simu kwamba anaitaji tuonane. Kwa kweli alinishtua sana, nilijua labda amepatwa na tatizo. Nilipofika kwake aliniambia kwamba anaitaji kutoka na mimi kwenye sikukuu ya pasaka. Kwa7bu ya upendo wangu kwake nilimkubalia ombi lake. Ilipofika siku ya jumapili asubuhi alinipigia simu kwamba anajisikia vibaya (anaumwa), kwahiyo hawezi kwenda sehemu yoyote siku hiyo. Kwa kweli nilimuhurumia sana, nakumuahidi nitaenda kumuona siku hiyo. Japo kuwa alinikatalia kwenda kumuona, sikukata tamaa jioni nilienda kumuona, cha kushangaza sikumkuta na mlango ulikuwa umefungwa. Nikaanza kuwauliza majirani zake, walinijibu kwamba aliwahaga anakuja kwangu, nalipojaribu kupigia simu hakupatikana. Nikaamua kurudi nyumbani, wakat nipo njiani nikapigiwa simu na rafiki yangu kwamba amemuona mpenzi wangu akiwa na msichana mwingine wakiwa kwenye Bar fulani. Nakachukua bodaboda hadi eneo husika na nilichokishuhudia ni Mungu mwenyewe anajua. Jamani nimevurugwa sana. Nilikuwa naitaji marafiki wa kunifariji. Sichagui Dini, kabila wala jinsia. Wote kwangu ni marafiki tu.
wajina pole,ila huku ni full ubazazi hofu usijetonesha kidonda...all the best
 
Kama upo dar njoo hapa Francies hill basihaya tupate mvinyo kidogo!
 
Hao marafiki unao taka kuwatafuta ndio unaenda kujitupia shimoni kabisaaa..... maana hawachelewi kutumia fursa kama hizi za mnao umizwa.
1-Anza kujipenda zaidi ya ilivyo kua kabla. (pendeza)
2-Kula vizuri na hasa jitahidi kula matunda kwa wingi.
3-Jenga tabia ya kujitoa out japo mara moja kwa wiki.
4-Epuka matumizi ya kilevi cha aina yeyote hasa katika kipindi hiki cha mpito.
5-Tenga muda wa kufanya kile unacho kipenda kila baada ya masaa ya kazi (movie, music, riding, dancing and ect🙂
6-Jiepushe na makundi au marafiki wapya kwa kipindi hiki.

Ivo
 
Ilikuwa ni siku ya alhamisi, mpenzi wangu alinipia simu kwamba anaitaji tuonane. Kwa kweli alinishtua sana, nilijua labda amepatwa na tatizo. Nilipofika kwake aliniambia kwamba anaitaji kutoka na mimi kwenye sikukuu ya pasaka. Kwa7bu ya upendo wangu kwake nilimkubalia ombi lake. Ilipofika siku ya jumapili asubuhi alinipigia simu kwamba anajisikia vibaya (anaumwa), kwahiyo hawezi kwenda sehemu yoyote siku hiyo. Kwa kweli nilimuhurumia sana, nakumuahidi nitaenda kumuona siku hiyo. Japo kuwa alinikatalia kwenda kumuona, sikukata tamaa jioni nilienda kumuona, cha kushangaza sikumkuta na mlango ulikuwa umefungwa. Nikaanza kuwauliza majirani zake, walinijibu kwamba aliwahaga anakuja kwangu, nalipojaribu kupigia simu hakupatikana. Nikaamua kurudi nyumbani, wakat nipo njiani nikapigiwa simu na rafiki yangu kwamba amemuona mpenzi wangu akiwa na msichana mwingine wakiwa kwenye Bar fulani. Nakachukua bodaboda hadi eneo husika na nilichokishuhudia ni Mungu mwenyewe anajua. Jamani nimevurugwa sana. Nilikuwa naitaji marafiki wa kunifariji. Sichagui Dini, kabila wala jinsia. Wote kwangu ni marafiki tu.
Karibu katika ulimwengu wa wapendanao!! BTW Pole sana!!

Kwa uzoefu wangu wa 30 kazini inaonyesha unataka wa kukufariji possibly new BF, kwa ushauri tu calm down uchanganue, acha kukurupuka utaishia kuumizwa tena useme dunia mbaya!!
 
pole siku nyingine usikubali kuibiwa kizembe upigane
 
Kuwa na back up haiepukiki.

Tanesco wakizima unakuwa na generator,solar panel,UPS,dynamo kila kitu hata ule wa nyuklia.Sisi wanaume hatuna mmoja.Jiongeze
 
Wala usijali bibiye,bahati yako nimefika.Embu ni pm,achana na huyo aliyekupa donda la kuharibu siku.Just pm ili tuendeleze maisha!!
 
Back
Top Bottom