ERIC JOSEPH
JF-Expert Member
- Aug 10, 2011
- 567
- 55
Mh SATA ametangaza unafuu wa wamaisha kwa wakazi wa zambia kwa mwekezaji lazima awaajili wananchi.Pili kupunguza ushuru wa vitu viingiavyo nchini.
Isije ikawa nguvu ya soda! Ila kanikuna alipowachagua wapinzani kwenye baraza la mawaziri. Inaonekana SATA si mrafi wa madaraka!
Mh SATA ametangaza unafuu wa wamaisha kwa wakazi wa zambia kwa mwekezaji lazima awaajiri wananchi. Pili kupunguza ushuru wa vitu viingiavyo nchini.
Tafadhali edit hiyo post yako namba 1, urekebishe lugha mbovu uliyotumia. Fata marekebisho kama nilivyokuwekea.