Ndebile
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 7,237
- 9,872
Siku ya tatu mfumo wa kununua umeme wa TANESCO nchi nzima uko "dawn" wazazi ambao vitoto vyao njiti vipo kwenye incubators jiandaeni kubeba "maiti" vitakufa tu, hospitali nyingi hasa za umma hawana genereta za dharula...
Na izo chanjo zenu za covid sijuhi tumuombe Mh. Uhuru Kenyatta atuhifadhie mana huku hakuna uhakika kabisa wa usalama wake!
Na izo chanjo zenu za covid sijuhi tumuombe Mh. Uhuru Kenyatta atuhifadhie mana huku hakuna uhakika kabisa wa usalama wake!