Makala hii kuhusu Masheikh na Maaskofu imeandikwa na Mzee Mwanakijiji inatia moyo kuonyesha angalau mwana JF mmoja amejitokeza waziwazi kwa kuwakosoa Viongozi wetu wa dini 2 kubwa hapa nchini! soma makala yenyewe:
Nisikilizeni enyi masheikh na maaskofu!
Mimi nakubaliana na yote uliyotaja Mzee ila ushauri wangu kwa viongozi wa dini kama wataungana kwa lengo la kupinga dhulma basi muungano huo usiwe wa kibubusa bali uwe na masharti na kama masharti hayo yatavunjwa basi muungano huo uvunjike na kila mtu achukue jembe akalime!
Baadhi ya masharti hayo ya kuungana viongozi wa dini nashauri yafuatayo:
1) Kanisa liombe radhi kwa Watanzania kwa kufurahia madhambi yote yaliyofanywa na Serikali tangu ya awamu ya kwanza, ya pili, na ya 3! baadhi ya madhambi hayo ni Utawala wa Julius kuwakamata na kuwatia jela viongozi wa dini ya Kiislamu bila ya kuwafikisha mahakamani!
Mfano ni Mufti mkuu wa kwanza Tanzania Sheikh Mohamed Bin Ameir, Rais wa Jumuiya ya EAMWA Tanzania Sheikh Tewa Saidi tewa, Katibu Mkuu wa EAMWA Bibi Titi Mohamed na Julius kuivunja jumuiya hiyo tukufu iliyowaletea maendeleo makubwa Waislamu wa Tanzania na kuwaletea BAKWATA iliyoasisiwa kwa kutumia katiba inayofanana na katiba ya TANU! ndio maana mpaka leo tuna Shehe wa Mkoa, wilaya, kata na kijiji kama ilivyo kwa CCM mwenyekiti wa CCM mkoa, wilaya nk.
2) Kanisa liombe radhi kwa kushirikiana na Serikali ya Nyerere kumpachika Padre ktk Wizara ya Elimu ili asimamie uchakachuaji wa mitihani ya Secondary, high school na hata Chuo kikuu cha Dar, ili kuwachuja wanafunzi walio waislamu na kuwapendelea wakristo!
Mfano mimi mwenyewe nikiwa darasa la 7 jumla ya wanafunzi tulikuwa 30, waislamu walikuwa 17, wakristo 8, na Hindus 5 na kila mtihani kuanzia darasa la 4-7 mitihani yote walikuwa waislamu wakiongoza kuanzia namba 1,2,3,4,5,mpaka 7 lakini cha kusikitisha matokeo ya kuingia Secondary walifaulu wakristo 7, waislamu 2 na baniani 1 kwanini? ina maana hawa waislamu hawakudurusu?
Ukifuatilia ya Secondary mpaka chuo kikuu utakuta mapungufu kama hayo!
3) Kanisa liombe radhi kwa kunyamaza wakati Serikali ya Mwinyi ilipowauwa Waislamu wa zanzibar walipoandamana mwaka 1988 wakipinga kauli ya Mama Sofia kauwawa ya kutaka Qurani ifanyiwe mabadiliko!
4) Kanisa liombe radhi kwa kuishinikiza serikali ya Mkapa kuwakamata Waislamu na kisha kuwauwa ndani ya msikiti wa Mwembechai na kusababisha wengine kuwa walemavu wa maisha mfano ni Mtoto Chiku alimiminiwa risasi kama maji! Rejea kauli ya Paroko Camilius Lwambano An-nuur Na. 201
4) Kanisa liombe radhi kwa kubariki mauaji ya Wafuasi wa CUF huko Unguja na Pemba mwaka 2001!
5) Kanisa lisijiingize ktk madai ya Waislamu kwa Serikali kuhusu Mahakama ya Kadhi na OIC!
6) Makanisa hasa ya Kilokole yawache tabia ya kutembelea nyumba wanazoishi waislamu na kugawa Biblia bure kwani Waislamu wakijibu mapigo sidhani kama Kanisa litafurahi!
7) Makanisa ya Kisabato na Kilokole waache tabia ya kuja na magari ya tarumbeta na kuimba kwa sauti kubwa karibu na Misikiti wakati Waislamu wako ktk sala hivyo kusababisha usumbufu na kukosa utulivu ndani ya ibada zao! huo ni uchokozi!!
8) Mwisho na muhimu- Kanisa liwe na tabia ya uvumilivu pale Waislamu wanapohubiri kuwa Yesu si Mungu kwani wao nao huvumilia wakisikia Wakristo wakimuita Yesu kuwa ni Mungu!
Kama Kanisa liko tayari kufuata masharti haya basi Waislamu wako tayari kushirikiana na Kanisa kukemea maovu ktk msimamo wa pamoja kinyume chake kila mbwa afoke kivyake!
Nakushukuru Mzee Mwanakijiji kwa makala yako safi lakini...............
Nisikilizeni enyi masheikh na maaskofu!
Mimi nakubaliana na yote uliyotaja Mzee ila ushauri wangu kwa viongozi wa dini kama wataungana kwa lengo la kupinga dhulma basi muungano huo usiwe wa kibubusa bali uwe na masharti na kama masharti hayo yatavunjwa basi muungano huo uvunjike na kila mtu achukue jembe akalime!
Baadhi ya masharti hayo ya kuungana viongozi wa dini nashauri yafuatayo:
1) Kanisa liombe radhi kwa Watanzania kwa kufurahia madhambi yote yaliyofanywa na Serikali tangu ya awamu ya kwanza, ya pili, na ya 3! baadhi ya madhambi hayo ni Utawala wa Julius kuwakamata na kuwatia jela viongozi wa dini ya Kiislamu bila ya kuwafikisha mahakamani!
Mfano ni Mufti mkuu wa kwanza Tanzania Sheikh Mohamed Bin Ameir, Rais wa Jumuiya ya EAMWA Tanzania Sheikh Tewa Saidi tewa, Katibu Mkuu wa EAMWA Bibi Titi Mohamed na Julius kuivunja jumuiya hiyo tukufu iliyowaletea maendeleo makubwa Waislamu wa Tanzania na kuwaletea BAKWATA iliyoasisiwa kwa kutumia katiba inayofanana na katiba ya TANU! ndio maana mpaka leo tuna Shehe wa Mkoa, wilaya, kata na kijiji kama ilivyo kwa CCM mwenyekiti wa CCM mkoa, wilaya nk.
2) Kanisa liombe radhi kwa kushirikiana na Serikali ya Nyerere kumpachika Padre ktk Wizara ya Elimu ili asimamie uchakachuaji wa mitihani ya Secondary, high school na hata Chuo kikuu cha Dar, ili kuwachuja wanafunzi walio waislamu na kuwapendelea wakristo!
Mfano mimi mwenyewe nikiwa darasa la 7 jumla ya wanafunzi tulikuwa 30, waislamu walikuwa 17, wakristo 8, na Hindus 5 na kila mtihani kuanzia darasa la 4-7 mitihani yote walikuwa waislamu wakiongoza kuanzia namba 1,2,3,4,5,mpaka 7 lakini cha kusikitisha matokeo ya kuingia Secondary walifaulu wakristo 7, waislamu 2 na baniani 1 kwanini? ina maana hawa waislamu hawakudurusu?
Ukifuatilia ya Secondary mpaka chuo kikuu utakuta mapungufu kama hayo!
3) Kanisa liombe radhi kwa kunyamaza wakati Serikali ya Mwinyi ilipowauwa Waislamu wa zanzibar walipoandamana mwaka 1988 wakipinga kauli ya Mama Sofia kauwawa ya kutaka Qurani ifanyiwe mabadiliko!
4) Kanisa liombe radhi kwa kuishinikiza serikali ya Mkapa kuwakamata Waislamu na kisha kuwauwa ndani ya msikiti wa Mwembechai na kusababisha wengine kuwa walemavu wa maisha mfano ni Mtoto Chiku alimiminiwa risasi kama maji! Rejea kauli ya Paroko Camilius Lwambano An-nuur Na. 201
4) Kanisa liombe radhi kwa kubariki mauaji ya Wafuasi wa CUF huko Unguja na Pemba mwaka 2001!
5) Kanisa lisijiingize ktk madai ya Waislamu kwa Serikali kuhusu Mahakama ya Kadhi na OIC!
6) Makanisa hasa ya Kilokole yawache tabia ya kutembelea nyumba wanazoishi waislamu na kugawa Biblia bure kwani Waislamu wakijibu mapigo sidhani kama Kanisa litafurahi!
7) Makanisa ya Kisabato na Kilokole waache tabia ya kuja na magari ya tarumbeta na kuimba kwa sauti kubwa karibu na Misikiti wakati Waislamu wako ktk sala hivyo kusababisha usumbufu na kukosa utulivu ndani ya ibada zao! huo ni uchokozi!!
8) Mwisho na muhimu- Kanisa liwe na tabia ya uvumilivu pale Waislamu wanapohubiri kuwa Yesu si Mungu kwani wao nao huvumilia wakisikia Wakristo wakimuita Yesu kuwa ni Mungu!
Kama Kanisa liko tayari kufuata masharti haya basi Waislamu wako tayari kushirikiana na Kanisa kukemea maovu ktk msimamo wa pamoja kinyume chake kila mbwa afoke kivyake!
Nakushukuru Mzee Mwanakijiji kwa makala yako safi lakini...............