johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,137
Mjadala ni moto sana hapa Tv Imaan Mashehe wanajadili Waraka wa TEC
Shehe anahoji kama Maaskofu Katoliki ni Wazalendo mbona miongoni mwao walipokea fedha za kifisadi za escrow?
Mbona MoU ya Kanisa imezitenga Dini nyingine?
Mbona MoU imetoa Masharti kwa Serikali isijenge Shule wala Hospital Kwenye maeneo ambayo tayari Kanisa lina Shule na Hospital
Mashehe wamesema hata Nigeria Kanisa Katoliki ndio Chanzo cha mauwaji ya Mujahideen
Mjadala unaendelea
Karibu
Nawatakia Dominica njema 🌟
Shehe anahoji kama Maaskofu Katoliki ni Wazalendo mbona miongoni mwao walipokea fedha za kifisadi za escrow?
Mbona MoU ya Kanisa imezitenga Dini nyingine?
Mbona MoU imetoa Masharti kwa Serikali isijenge Shule wala Hospital Kwenye maeneo ambayo tayari Kanisa lina Shule na Hospital
Mashehe wamesema hata Nigeria Kanisa Katoliki ndio Chanzo cha mauwaji ya Mujahideen
Mjadala unaendelea
Karibu
Nawatakia Dominica njema 🌟