kontakinte
Member
- Jun 5, 2013
- 53
- 8
Ni masikio yangu yaliosikia na kwa kua ni muelewa nimeelewa hivi
Wakisema kwa kua waliowengi watanganyika hawalitaki jina la Tanganyika na badala yake ni Tanzania bara mara Tanzania.
Basi WaZanzibari wako tayari kuwachia watanganyika jina la Tanzania ili tu kuwasaidia kutokuwanza tena kuitambulisha nchi Yao kwa jina jipya
Mmoja kati yao akiuliza inakuaje msomi nyerere kuwapotezea jina watanganyika
Isingekua nchi isiyolipenda jina lake?
Wakisema kwa kua waliowengi watanganyika hawalitaki jina la Tanganyika na badala yake ni Tanzania bara mara Tanzania.
Basi WaZanzibari wako tayari kuwachia watanganyika jina la Tanzania ili tu kuwasaidia kutokuwanza tena kuitambulisha nchi Yao kwa jina jipya
Mmoja kati yao akiuliza inakuaje msomi nyerere kuwapotezea jina watanganyika
Isingekua nchi isiyolipenda jina lake?