Wewe mwenyewe kiswahili kinakushinda, bora huyo aliyeshindwa kiingereza kuliko wewe.somo la Jiographia
Hapo ulipaswa kuandika "kidato cha kwanza". Hyo maneno hayana sifa za kuandikwa kwa kuanza na herufi kubwa kama hayajaandikwa mwanzo wa sentensi.Kidato Cha Kwanza,
Sio maajabu, maana ni kawaida sana hiyoHivi ni kweli haya ni MAAJABU???
Duuh!Hahahaha! Mkuu umekurupuka. Mtoa mada anamuongelea JK sio chifu Hangaya. Tazama tarehe ya uzi hapo juu 😀 😀 😀 😀 😀 😀
Kasome shule kwanza uje kubishana nami. Mimi nimenadika maneo yaliyotamkwa sijamkosoa kwenye maandishi usitafute ligi. Kidato Cha Kwanza ni kikundii nomino (group noun); lazima uandike kwa herufi kubwa.Hapo ulipaswa kuandika "kidato cha kwanza". Hyo maneno hayana sifa za kuandikwa kwa kuanza na herufi kubwa kama hayajaandikwa mwanzo wa sentensi.
Hiyo lugha hajazaliwa nayoLeo nimetembelea shule moja ya Kata nikashuhudia kituko cha mwaka kutoka kwa mwalimu mmoja shuleni hapo.
Mwalimu huyo amehitimu Chuo Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam (UDSM) hivi karibuni na akaajiriwa moja kwa moja kufundisha katika shule hiyo ya Kata.
Wakati akiendelea kufundisha nilimsikia akiwauliza wanafunzi swali hili: WHERE DOES IT LOCATED?
Inaonekana ni mwalimu wa somo la Jiographia, hivyo alikuwa akiwauliza wanafunzi wake wamtajie location ya kitu fulani kwenye ramani.
Jamani, hapa ndipo shule za kata zilipotufikisha. Ikiwa mhitimu wa Chuo Kikuu anaongea kiingereza kibovu kama hiki, tena mbele ya wanafunzi,mnategemea wanafunzi anaowafundisha watapata maarifa gani kutoka kwake?
Chukulia huyu ni mwalimu wa Kidato Cha Kwanza, wanafunzi wake wanaoambiwa kila siku "SPEAK ENGLISH" wataiga kiingereza gani kutoka kwake? Si ndio atawapoteza kabisa?
Ikiwa walimu hawajui kiingereza unategemea nini kutoka kwa wanafunzi wao? Haya ndio madhara ya serikali yetu kuchanganya elimu na siasa. Tumekwisha hasa!!
Sio kweli, rudi shuleKasome shule kwanza uje kubishana nami. Mimi nimenadika maneo yaliyotamkwa sijamkosoa kwenye maandishi usitafute ligi. Kidato Cha Kwanza ni kikundii nomino (group noun); lazima uandike kwa herufi kubwa.
Wachina wasio jua kiingereza wako competent kwwnte careers zao. Wachina wanao jifunza kiingereza basi wanaongea fluently.. wanao jifunza kifaransa fluently even kiswahili wakijifunza wanaongea kama wamatumbi. Elimu ya bongo mangu mangu tuuWachina na wajerumani wenye maendeleo makubwa wanajua Kiingereza ?, pili ushasema ni mwl. wa Geography si kosa lake
Tatu ww kwa siku Kiswahili lugha yako unachapia mara ngapi ?
Nne ; watoto wenu mlokuwa mnawepeleka Kusoma Uganda na Kenya miaka michache ilopita mbona hamuwapeleki baada ya kuona watoto wanaendelea kuwa vilaza Tano Rekebisha ulitaka Mwl. aseme vp.
Iweke kwenye sentensi utapata jibu mwenyewe hapo.form one unaiandikaje? ni Form One au form one?
Sifungui, tunaelimishana kwenye huu huuBasi kafungue uzi mkuu
Sio mpya mkuu.Hii unayotaka tujadili hapa ni mada mpya. Utawapotosha wachangiaji.