Sikai jela mimi si mtaona!!!

Michael Amon

JF-Expert Member
Dec 22, 2008
8,775
3,610
Kama hamuamini subirini muone

jelasikaimimisimtaona.jpg
 
Lakini tuache utani huyu mtoto ni mzuri! Au unasemaje Young_Master??
 
Lakini tuache utani huyu mtoto ni mzuri! Au unasemaje Young_Master??

Kwa sura sawa, ni mzuri. Je umbo lake kwa jumla likoje?? Mbona manyonyo yake yanaonekana unproportionally big??

Usiwe ni uzuri utokanao na make-up!!
 
Kama hamuamini subirini muone

View attachment 53273

Jela atakaa wala asijindanganye sana.

Lakini tuache utani huyu mtoto ni mzuri! Au unasemaje Young_Master??

Hivi na wewe Ndallo mjanja wa A- Town unaweza ukamhesabu Lulu katika pini za hapo A - Town? Kwanza ni mfupi!!!!!

Kinachowachanga sana watu hapo ni huo udogo wake wanaona kitu manganyu kabisa kumbe ni kitu mtori sana.

Sina chuki binafsi na Lulu lakini ni mwanamke wa kawaida sana kufikia stage ya kujibost eti hawezi kukaa jela kwa sababu ya usichana wake!!!!!

Na kama akitoka nitaamini siyo kwa sababu ya uzuri wake bali milango ya sheria haikumbana.
 
Kuna sababu za kumfanya ajiamini, pengine kaiweka mahakama mikononi mwake!.
Mfumo wa sheria na taratibu zake kwa hapa kwetu inawezekana, hasa kama kuna mkubwa anamhitaji kwa maslai binafsi.
 
Jela atakaa wala asijindanganye sana.



Hivi na wewe Ndallo mjanja wa A- Town unaweza ukamhesabu Lulu katika pini za hapo A - Town? Kwanza ni mfupi!!!!!

Kinachowachanga sana watu hapo ni huo udogo wake wanaona kitu manganyu kabisa kumbe ni kitu mtori sana.

Sina chuki binafsi na Lulu lakini ni mwanamke wa kawaida sana kufikia stage ya kujibost eti hawezi kukaa jela kwa sababu ya usichana wake!!!!!

Na kama akitoka nitaamini siyo kwa sababu ya uzuri wake bali milango ya sheria haikumbana.

Losambo kwani tunakula ufupi mkulu?
 
Hutakaa jela kama ikionekana huna hatia lakini kama una kosa cha moto utakiona tutakusahau kabisaaa!
 
Daa! nimemkumbuka rafiki yangu papii kocha, aka mtoto wa mfalme.
 
Kama hamuamini subirini muone

View attachment 53273
Kwa sura sawa, ni mzuri. Je umbo lake kwa jumla likoje?? Mbona manyonyo yake yanaonekana unproportionally big??

Usiwe ni uzuri utokanao na make-up!!

Mkuu hapo kwenye red, ni kawaida ya watoto toka sehemu za ule mlima mrefu saana kuwa hivyo, wengine ni pasi kwa behind, miguu ni stilts.
Lakini sura,lo! wallahi wamejaaaliwa na Mnyeezi!!
 
Kwa sura sawa, ni mzuri. Je umbo lake kwa jumla likoje?? Mbona manyonyo yake yanaonekana unproportionally big??

Usiwe ni uzuri utokanao na make-up!!

huyu mtoto ni mzuri kwa sura na umbo tokea utoto wake. Alikuwa akinivutia sana na tabasamu lake tamu wakati alipokuwa akitangaza kipindi cha watoto ITV.
 
Back
Top Bottom