Latebloomer
New Member
- Oct 6, 2021
- 4
- 6
Nimekua nikisikiliza media mbalimbali kubwa duniani kama vile BBC, VIOA, DW, Aljazeera n.k ambazo zina endeshwa kwa kiingereza.
Kwa muda wote huu, media hizi zimekua zikifanya coverage kubwa katika nchi nyingi barani Africa tofauti na nchi yetu, Tanzania. Nimekua nikijiuliza sana mbona kuna matukio mengi sana ambayo yanapaswa kupewa attention kimataifa hayapewi uzito kama nchi zingine mfano majirani zetu (Kenya na Uganda) ambao kila siku zimekua zikitangazwa?
Kwani tumekwama wapi? Au ndo kusema ufanyaji kazi wa media hizi nchini umekua si rahisi kulinganisha na mataifa mengine?
Kama ni lugha (kiingereza) hii sio tatizo sababu hata nchi zisizo zungumza kiingereza mfano Congo DRC, walau coverage ni kubwa ukilinganisha na Tanzania. Sijui tunakwama wapi.
Kwa muda wote huu, media hizi zimekua zikifanya coverage kubwa katika nchi nyingi barani Africa tofauti na nchi yetu, Tanzania. Nimekua nikijiuliza sana mbona kuna matukio mengi sana ambayo yanapaswa kupewa attention kimataifa hayapewi uzito kama nchi zingine mfano majirani zetu (Kenya na Uganda) ambao kila siku zimekua zikitangazwa?
Kwani tumekwama wapi? Au ndo kusema ufanyaji kazi wa media hizi nchini umekua si rahisi kulinganisha na mataifa mengine?
Kama ni lugha (kiingereza) hii sio tatizo sababu hata nchi zisizo zungumza kiingereza mfano Congo DRC, walau coverage ni kubwa ukilinganisha na Tanzania. Sijui tunakwama wapi.