Utoto gani tena jamani? Kama huna cha kuchangia si unakausha tu,kwahiyo kuomba USHAURI Ni jambo la kitoto?Utoto kama huu ndo unafanya siku hizi jf pamekuwa kama fb, wajhisika hamzuioni hizi kweli maana mtutu anakuja kupost utoto wake halafu anaachwa tu ili aendeleze utoto wake, SAWA HIYO CHAI YAKO UMEWEKA CHUMVI BADALA YA SUKARI!
Tulia bwana, haponi ila anampoza kidogo tu.Kwa hiyo akimkubalia ndio jamaa atapona ulemavu?
Una hatimiliki nayo?Akapoozee kwingine sio kwenye mali yangu
Ok, shirikiana vyema na mkeo kumsaidia huyo chiba. Ikiwezekana mpeni wote.











ushachokolewa ndo maana huna akili.....Mbona hamna uhusiano Kati ya uzi na ulichokisema hapa,mkuu upo timamu kweli?
Una busaraHakika ndio nilivyo,nakuwa mpole ili nipate USHAURI zaidi
EndeleaVipi?
Kunywa k vant mkuu ntalipaOk, shirikiana vyema na mkeo kumsaidia huyo chiba. Ikiwezekana mpeni wote.
Hahahaa fala sana wewe,ila umejua kunifurahishaOk, shirikiana vyema na mkeo kumsaidia huyo chiba. Ikiwezekana mpeni wote.