Duniani pana mengiAiseee nimesoma kama mara tan hivi lakini bado naona kama sielewi
Anyway kwa sababu ya huruma na kama mke wako mtarajiwa amepata nguvu na ujasiri wa kukueleza hayo uliyotueleza hapa
basi mimi nashauri muoeni tu wote awe mke wa wanaume wawili,ili mmoja anendelee kufaidi huruma zenu na watoto awazalie wote wawili,itapendeza Zaidi
ila ni huzuni kwa kweli dah,never seen this before 🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️
Itakuwa. Facebook nadhaniHapana sio jf
Utoto kama huu ndo unafanya siku hizi jf pamekuwa kama fb, wajhisika hamzuioni hizi kweli maana mtutu anakuja kupost utoto wake halafu anaachwa tu ili aendeleze utoto wake, SAWA HIYO CHAI YAKO UMEWEKA CHUMVI BADALA YA SUKARI!!!Habari za sasa wakuu,mpaka naandika uzi huu nipo njia panda sijui nielekee wapi? Sijui nifanyaje mimi!?
Ni muda sasa tangu mpenzi wangu aanze kulalamika anasumbuliwa na jamaa mmoja hivi(ambayo Ni kilema)
Sasa anasema anamuonea huruma kwahiyo anataka amkubalie dah sasa mimi sielewi nifanyaje Mana nimeshikwa na roho ya huruma Ila kwa upande mwingine naona siwezi kukubaliana na hilo swala,,,
USHAURI WENU WAKUU
NAWASILISHA
mqaxy
Jamaa yupo simple tukuna mambo unasoma unajenga picha kichwani aliye yazungumza ana akili gani unaishia kucheka.
ukisoma michango ya wadau unacheka zaidi maana wana tema cheche hatari ila mtoa mada anajibu fresh tu
Habari za sasa wakuu,mpaka naandika uzi huu nipo njia panda sijui nielekee wapi? Sijui nifanyaje mimi!?