Blue G
JF-Expert Member
- Jun 20, 2012
- 5,339
- 3,670
Aiseee nimesoma kama mara tan hivi lakini bado naona kama sielewi
Anyway kwa sababu ya huruma na kama mke wako mtarajiwa amepata nguvu na ujasiri wa kukueleza hayo uliyotueleza hapa
basi mimi nashauri muoeni tu wote awe mke wa wanaume wawili,ili mmoja anendelee kufaidi huruma zenu na watoto awazalie wote wawili,itapendeza Zaidi
ila ni huzuni kwa kweli dah,never seen this before 🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️
Anyway kwa sababu ya huruma na kama mke wako mtarajiwa amepata nguvu na ujasiri wa kukueleza hayo uliyotueleza hapa
basi mimi nashauri muoeni tu wote awe mke wa wanaume wawili,ili mmoja anendelee kufaidi huruma zenu na watoto awazalie wote wawili,itapendeza Zaidi
ila ni huzuni kwa kweli dah,never seen this before 🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️
