Hahaha jamaa kazingua sana na raia wameamua kwenda naye sawakuna mambo unasoma unajenga picha kichwani aliye yazungumza ana akili gani unaishia kucheka.
ukisoma michango ya wadau unacheka zaidi maana wana tema cheche hatari ila mtoa mada anajibu fresh tu
Acha ujinga. Tangu lini mwanaume akamiliki mwili wa mwanamke.Mimi ndio mmiliki
weweFala nani tena?
Ok, shirikiana vyema na mkeo kumsaidia huyo chiba. Ikiwezekana mpeni wote.



We Troublemaker wewe! Hapo mwisho wote wafanyaje? Dah😛Ok, shirikiana vyema na mkeo kumsaidia huyo chiba. Ikiwezekana mpeni wote.
Wampe ushirikiano mkuu. Au ww umewazaje?We Troublemaker wewe! Hapo mwisho wote wafanyaje? Dah😛
😁😁😁 Cha ajabu huyu muhuni anasoma udaktari af nyuzi zake ndio hizikuna mambo unasoma unajenga picha kichwani aliye yazungumza ana akili gani unaishia kucheka.
ukisoma michango ya wadau unacheka zaidi maana wana tema cheche hatari ila mtoa mada anajibu fresh tu