Pole sana KK angu
Kahema!! Najua binadamu tunapita katika mitihani na majaribu mazito hususani ktk mapenzi na ndoa!! Hilo lililotokea ni zito kibinadamu kiukweli hata Mimi limenigusa sana nahisi nimetendewa Mimi!!
Lkn, Mungu tunaemwamini, alietupa neema na hata baraka ya watoto hao uliopewa alituagiza KUSAMEHE ili tutue mizigo na fadhaha zetu!!
Utaenda dunia nzima, japo sio rahisi KK, Utaamua kuoa ata kuwapeleka watoto boarding lkn Nafsi yako kamwe haitatua mzigo unaokutesa sasa!!
Kama mlifunga kidini na una imani na Mungu NAKUSIHI MSAMEHE MKEO, itakuchukua mda kusahau na kupona maumiv hayo lkn MUNGU ATATENDA JEMA MBELE YAKO JUU ya ndoa yako mkeo atabadilika ukiwa tayari kua part ya yy kubadilika!!
BE STRONG, PRAY TO GOD, READ THE SCRIPTURES OF GOD!!
ONLY THIS WILL WORK BROTHER, MAINTAIN A POSITIVE ATTITUDE ON HER SO LONG SHE'S ALREADY CONFESSED WOT SHE HAS WRONGED YOU!!!
Mungu akupe nguvu KK
Kahema