mimi ni mmojawapo hapo....halafu......?
hahahahaa.........afadhali yako wewe, mimi ndo nitafukuzwa kabisa niambiwe niende kwenye blogs nilivyo kama spoku!! (hivi matairi ya baiskeli za siku hizi yana spoku?? hukawii kukuta yanatumia wire less au sijui tube less au something like that!!)Majitu ya JF yameshiba sana aisee!...du!
Wenye mwili kama wangu lazima tutaogopa kuitwa kimbaumbau!
Duh!!!......sura za wana JF zinatisha(kama majambuuuuz)
Huyo ndo BOFLO.........anaangalia sura tu za wanaume wenzake....Duh!!!......sura za wana JF zinatisha(kama majambuuuuz)
Leo umeenda mahakamani kum-support mtu wetu?Aisee nimekuona lakini nashangaa hapa jf unatumia jina la kike lol
....Gaijin sikusahahu......nipm nikupe diliBoflo hali yako!
Huwa unanifurahisha sana na threads unazoibukia!
Una habari Gaijin ni Mwanamke?....Gaijin sikusahahu......nipm nikupe dili
Duh!!!......sura za wana JF zinatisha(kama majambuuuuz)
Una habari Gaijin ni Mwanamke?
Jimmy acha hizo!!......Gaijin namjua fika, na hata kama jike, kwani haifai kumpa dili??Una habari Gaijin ni Mwanamke?
Im de most handsome guy in town!!(unbelievable) nipm nikutumie picha yanguBoflo tuwekee yako na wewe tufanye tathmini.
Name calling!Dah.Mlipendeza sana yani.Hapo namtambua Max na pascal tu.. Huyu mdada sijui takuwa ni nani? au ndio MS?????
Jimmy acha hizo!!......Gaijin namjua fika, na hata kama jike, kwani haifai kumpa dili??
hahahaah uko njema black beauty!Wa tano toka kulia ndio Yo Yo mwenyewe.....