sijui nani ni nani hapa

sijui nani ni nani hapa

Im de most handsome guy in town!!(unbelievable) nipm nikutumie picha yangu
Mkuu samahani kama nitakuudhi......wewe ni shoga? kuna wakati ulikuwa unajiita bwabwa...au majina mkuu?
 
hahahahaa.........afadhali yako wewe, mimi ndo nitafukuzwa kabisa niambiwe niende kwenye blogs nilivyo kama spoku!! (hivi matairi ya baiskeli za siku hizi yana spoku?? hukawii kukuta yanatumia wire less au sijui tube less au something like that!!)

Sijalitumia neno spoku siku nyingi! Duh!
 
Jimmy acha hizo!!......Gaijin namjua fika, na hata kama jike, kwani haifai kumpa dili??

Kama ni jike sidhani kama atakubali dili kama inahusiana na kwenda vekesheni Malawi.
 
big up wakulu..............mmetuwakilisha vilivyo..........................na mim nitahitaji hizi tshirt.............................!
quality iko vizuri................................
 
Ha ha ha!

Msisahau kutumiana picha za ukweli, and this is for mabinti.

Mbuzi hauzwi guniani.

Goodluck to the fellas, hope you see "eye to eye" with them chicks!lol

Kwasababu isije kuwa madem ndo wenye rights za kuchagua tuu, btw kuna bibiye alitoa uvivu akabandika nepu lake really humu...

Nimemsahau, sijui Radhia Sweety or sometin...
 
Hii picha imenidhihilishia kitu ambacho sikuwa na hakika nacho kuwa TISS imeinfiltrate JF; jamaa mmoja ofisa mkubwa wa hiyo taasisi nimemuona nae kavaa fulana kama ya MUBYAZI!!
 
harooo mko mahendsome boy kweli kweli lakini naona baadhi yenu hamfanyi mazoezi ,sijui ndo tusker bariiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiidi,,nimependa picha yenu
 
mbona vimbilikimo vyote, hata mmoja wa kuufikia urafu wangu hapo hayupo....mimi ndo dume la mbegu, mdada anayependa watu warefu anipm.
 
............Kumbe haTa sHukUrU KaWaMbWa nI MwAnA JF?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom