kongobelo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2012
- 372
- 496
Mungu humpa mume mwema mke mwema. Anza sasa kwa kubadilika na ujiandae kuwa mume mwema then Mungu atakupa mke mwema na ujue mke mwema atoka kwa bwana.
Haijalishi kuwa mume mwema ndio upate mke mwema.kuna mdada namfahamu yupo so innocent maskini ya mungu lakini kaolewa na jamaa mlevi na anamtwanga deile,uzuri wote unapotea...so ni mipango ya Mungu na bahati tu ya mtu...sio lazima wote muendane...