0123456789
Member
- Jan 1, 2014
- 68
- 8
wanadamu tunafanya mengi kwa kutumia juhudi na akili zetu tukidhan kuwa ndo pekee za kutufanikisha lakini katika mambo tukimtanguliza mungu ili afanye kile ambacho kinatufaa hakika hatuwezi kuhangaika. Sema wakati sie wanadamu tunafanya yetu na inapofika mahali mambo yanagoma ndo tunakumbuka kuwa mungu yupo
ila kweli