Hata siku moja! Haiwezekani Mungu akupe Malaika wakati wewe mwenyewe ni Ibilisi.Mke mwema ni bahati nasibu.
Kwa hiyo wewe ni bikra wa kiumeBado sijaoa kwa sasa na sijawahi kujihusisha na mahusiano mpaka sasa.Sasa hivi nimeshakuwa mtu mzima nataka nianze kutafuta mwenza.Lakini nacho ogopa mpaka sasa ni kuanzisha mahusiano halafu baadae kusalitiwa.Ndio maana nimeamua kuomba ushauri kwenu ili nisije kukosea katika kuchagua .
ha!ha!haa mkuu umenchekesha kweli!Kwa hiyo wewe ni bikra wa kiume
huyo hakuwa mke alikuwa mdada wa mjini ambae hajamaliza starehe zake, na hao ambao nimewaongelea kwamba hawawagusi wake zao hata mwaka si kwasababu ya kiafya ni sababu za umalaya mtu anakuwa na wanawake nje kiasi kwamba hakumbuki kwamba mkewe ana muhitaji pia, unakuta hata hela ya matumizi ndani haachi kiufupi hamjali mke wala watoto, hapo ndo matatizo yanapoanza
Ukitaka kupata alie mwema lazima uwe na mtizamo tofauti
mfano wakati wenzako wanavutiwa na makalio makubwa wewe angalia kwa mtizamo mwingine je hayo makalio yamesitiliwa kwa nguo yenye staha
kwa hilo kundi la wanaume ndio tunawaita wajinga na wapumbavu........ Lakin usisingizie kusema ni wanawake wa mjin % kubwa ya wanawake siku hzi hamlidhiki na mwanaume mmoja au wawili. Lazma wawe na wanaume zaidi ya mmoja au zaidi.... Wakat mwingne hata mwanaume anayeamua kuitelekeza familia kunaweza kuwa mwanamke ndio chanzo japo siungi mkono hyo tabia. Utakuta mzee unahangaika kutafuta halafu unamkuta wife ndio full kujiachia na vijamaa, unafika nyumban kila ukimuuliza kitu anakuwa mkali, yaan nyumban kunakuwa kuchungu kama uko ugenin vile wakat huo unamtimizia kila kitu hapo kwann mwanaume asikukimbie?! Nmewahi kuisikia kauli moja ya mdada akimwambia mme wake.."Huyu mtoto nmezaa na wewe kwa bahati mbaya tu. Na hutaona tena nikishika mimba yako" tena mbele ya watu. Aisee
wenzako wanapenda bad boy asa we na uvumilivu wako sijui Kama hata ubadboy unaujua bila ivo utakuwa mwenye kulia tu.Bado sijaoa kwa sasa na sijawahi kujihusisha na mahusiano mpaka sasa.Sasa hivi nimeshakuwa mtu mzima nataka nianze kutafuta mwenza.Lakini nacho ogopa mpaka sasa ni kuanzisha mahusiano halafu baadae kusalitiwa.Ndio maana nimeamua kuomba ushauri kwenu ili nisije kukosea katika kuchagua .
...huu ndio ukweli. Usioe kuwafurahisha wengine, hili kosa linawaangukia wanaume wengi..!!Chagua mwanamke ambaye ni mzuri kwako, hata watu wakishangaa ulimtoa wapi as long as ur happy. Ukitaka mwanamke ambaye kila mtu anamsifia itakula kwako.
tajaaaaMimi mke mwema nitampata huku huku JF,na nina mfahamu.......nimtaje?
hoping wewe yako unayasitiri kwa nguo yenye staha
asante sana...huu ndio ukweli. Usioe kuwafurahisha wengine, hili kosa linawaangukia wanaume wengi..!!
Chagua mwanamke ambaye ni mzuri kwako, hata watu wakishangaa ulimtoa wapi as long as ur happy. Ukitaka mwanamke ambaye kila mtu anamsifia itakula kwako.
wewe unaweza?