Katika nyakati zetu za sasa ni vigumu sana kumpata mwanamke aliye mwema.Moyoni mwangu nafikiri sana nionapo marafiki wangu jinsi walivyo salitiwa na wapenzi wao.NAULIZA NYINYI MLIO OA NA KUPATA WAKE WEMA MLIFANYAJE MPAKA MKAWAPATA HAO MAANA NINAMPANGO WA KUTAFUTA MKE.
Biblia haisemi chochote kuhusu mume mwema. Anayeoa ni mwanaume sio mwanamke
Bado sijaoa kwa sasa na sijawahi kujihusisha na mahusiano mpaka sasa.Sasa hivi nimeshakuwa mtu mzima nataka nianze kutafuta mwenza.Lakini nacho ogopa mpaka sasa ni kuanzisha mahusiano halafu baadae kusalitiwa.Ndio maana nimeamua kuomba ushauri kwenu ili nisije kukosea katika kuchagua .
Biblia haisemi chochote kuhusu mume mwema. Anayeoa ni mwanaume sio mwanamke
mmh una umri gani?Bado sijaoa kwa sasa na sijawahi kujihusisha na mahusiano mpaka sasa.Sasa hivi nimeshakuwa mtu mzima nataka nianze kutafuta mwenza.Lakini nacho ogopa mpaka sasa ni kuanzisha mahusiano halafu baadae kusalitiwa.Ndio maana nimeamua kuomba ushauri kwenu ili nisije kukosea katika kuchagua .
usalit ktk mapenzi kwa kizazi hiki haukwepeki bali ww muombe Mungu akupe moyo wenye hekima na busara. Wanawake siku hiz hata umridhishe vp lakin haachi kutaman. Unaweza kuwa na pesa na kitandan uko vzr lakin ataibua kitu kingne ambacho ndio chanzo cha kukusarit....... Atakutana na Juma huko ataanza mara " yule mkaka anasaut nzurii au anakifua kizur au macho mazurii au nmeipenda six pack yake au gaden lov yake inanivutia" hawa viumbe wanabadlika kama kinyonga....... Mwombe sana Mungu akupe mke mwenye ahuen. Hujiuliz kwann wanawake wengi sana siku hizi wamezalishwa nyumban?? TAMAA
Mungu atakupatia wa kufanana na wewe
Sali sana
Katika nyakati zetu za sasa ni vigumu sana kumpata mwanamke aliye mwema.Moyoni mwangu nafikiri sana nionapo marafiki wangu jinsi walivyo salitiwa na wapenzi wao.NAULIZA NYINYI MLIO OA NA KUPATA WAKE WEMA MLIFANYAJE MPAKA MKAWAPATA HAO MAANA NINAMPANGO WA KUTAFUTA MKE.
sikatai wako wanawake wanaosaliti ndoa zao, ila wengi wao wanafanya hivyo kwasababu nyinyi wanaume mmewapa reason ya kufanya hivyo, wengi ninaowafahamu mimi au ninaosoma stori zao humu mitandaoni wakatafuta ushauri, unakuta mtu anakwambia mwanaume hajamgusi mwaka wa pili sasa au kwa mwaka anasex nae mara 2 au 3 na wala hamjali kavumilia kashindwa kaamua kwenda kutafuta pumziko nje, ila wale ambao wanasaliti ndoa zao wakati ndani ya nyumba mwanaume anatimizi kila kitu ni wale tunaowaita wadada wa mujini, wapenda show off wasiotaka kupitwa mwanaume ukiingia anga hizo aandike maumivu, lakini ukweli ni kwamba wanawake wengi tunapoolewa huwa TUNATULIA
hlo ni kweli mkuu kweli kuna wanaume wenye mapungufu kiafya lakin wanawake mmezidi. Wengi wenu huwa mnatulia sana kwenye uchumba lakin mkishaolewa tu loh! Mwanaume utajuta kuingia kwenye ndoa.. Nina mfano mmoja" dada mmoja alikua anasoma CBE niliwahi kumtokea kwa lengo la kutaka uchumba akaniambia yeye anamchumba tayar. Akaniambia lakin nisijar yupo tayar atakuwa mpenz wangu tu" nikafikiria sana nikamwambia jiandae kupata ukimwi au mimba na kutelekezwa
Mkuu hiyo ni kweli kabisa, vijana wengi wa siku hizi anamuona msichana au mvulana akiwa viwanja, anampenda ghafla bila ya kumfahamu vizuri anatangaza uchumba.Ukiacha kuwatafutia bar
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums