Sijui kinachomfanya aendelee kutuma text

Sijui kinachomfanya aendelee kutuma text

Na huwez amini...nshawah kumshukuru...!!just cwezi kmruhus arudi....am superman....she is kryptonite...!!ataniangusha
Na unaamini utakaempata sasa hivi ndio atakuwa mwema? Yawezekana huyu akawa amejifunza na akawa mwema zaidi ya unavyofikiria au vinginevyo.

Wakati mwingine sisi wanawake tunapoona unamshauri mtu na unamsukuma ajiongeze ila hastuki unaona hiyo ni red alarm. Maana unaiwazia kesho unaona kabisa giza. Naamini angeona angalau unahangaika angekuwa nawe.

Sasa ameona umeamka na angalau unajituma anaona YES.
 
Huyo binti alikuwa anakupa motivation ya kupambana ila kwa sababu ya kujishtukia uliona anakunyanyasa
No...!!waala!!..nlmuwekea ahadi kuwa mwezi wa 5 mwaka jana tungekuwa na chumba chetu!!...

Wajua alichojibu!!??..

She changed...!!she wasn't the same

Naamin ht wew kuna dalili ukiona wajua kuwa hutakiw

Wew n female??
 
Naelewa vizuri mwenza. Amepiga hatua kubwa ila tatizo ni vile anajichukulia...yaani kisa kajaza vitu rum mtu akimtumia meseji anamtafuta kwa sababu katusua
Bado ana inferiority complex, hajajiamini bado ndio maana ana mentality hiyo.
Hata nami nimeshangaa why hajibu text zake, kwani haya maisha tu kuna leo na kesho. You never know.
 
Na unaamini utakaempata sasa hivi ndio atakuwa mwema? Yawezekana huyu akawa amejifunza na akawa mwema zaidi ya unavyofikiria au vinginevyo.

Wakati mwingine sisi wanawake tunapoona unamshauri mtu na unamsukuma ajiongeze ila hastuki unaona hiyo ni red alarm. Maana unaiwazia kesho unaona kabisa giza. Naamini angeona angalau unahangaika angekuwa nawe.

Sasa ameona umeamka na angalau unajituma anaona YES.
Hamna kitu hapo mtu kakuacha kaenda kugongwa huko wememtema ndio anajifanya kurudi. Jamaa atafute demu mpya tu
 
Bado ana inferiority complex, hajajiamini bado ndio maana ana mentality hiyo.
Hata nami nimeshangaa why hajibu text zake, kwani haya maisha tu kuna leo na kesho. You never know.
Noted....but nafanya hvyo kwakuwa kila conversation nae haijawah kuisha salama...!!so naepusha kuharibu siku
 
Usione kila mtu ameoa ukajua nd alianza na huyo....!!kila mtu ana historia ambyo hakuna aijuaye zaidi ya yeye
Lakini still ameoa mwanamke si ndio? Tena ktk hali yake hiyo hiyo ya umasikini right?

Kuoa au kuolewa na uloanza nae hii hutokea kwa nadra maana kwenye maisha kuna ups and down nyingi.
Lakini hii ya kulaumu wanawake naona mnaikuza sana ilihali wenye hali za kawaida ni wengi kuliko matajiri na wanaoa kila uchwao na wanaoa hao hao wanawake mnaodai hawawezi kuvumilia shida.

Wakati mwingine unapoachwa na mwanamke sio kwasababu wewe ni masikini ila mentality yako kuhusu huo umasikini na tabia zako zingine. Ila huwa mnajistukia tu kuwa umeachwa sababu ya umasikini.
 
Huyo binti alikuwa anakupa motivation ya kupambana ila kwa sababu ya kujishtukia uliona anakunyanyasa

Kabisa mwenza, na ingetokea huyo binti akawa au akaolewa na alie na kipato zaidi basi hili ndio angelikuza zaidi kumbe yeye ndio tatizo.

Hapa nimeliona tatizo kwa kwake sio kwa binti maana amesema kabla binti alikuwa anamhoji atakaa kwao hata lini? Hii tayari ilikuwa inaonyesha anamtaka aamke apambane, ila yeye akaona ananyanyaswa.
 
Lakini still ameoa mwanamke si ndio? Tena ktk hali yake hiyo hiyo ya umasikini right?

Kuoa au kuolewa na uloanza nae hii hutokea kwa nadra maana kwenye maisha kuna ups and down nyingi.
Lakini hii ya kulaumu wanawake naona mnaikuza sana ilihali wenye hali za kawaida ni wengi kuliko matajiri na wanaoa kila uchwao na wanaoa hao hao wanawake mnaodai hawawezi kuvumilia shida.

Wakati mwingine unapoachwa na mwanamke sio kwasababu wewe ni masikini ila mentality yako kuhusu huo umasikini na tabia zako zingine. Ila huwa mnajistukia tu kuwa umeachwa sababu ya umasikini.
So wmaansha kuwa now yawezkn akawa mwema tena.?....yawezkana asiniache??

Kila bnadam ana turning point yake..!!kil mtu ana wakat wake wa kuamka

Maybe her out of my life....is my wake up call
 
Back
Top Bottom