Sijui kiingereza, nimlaumu nani?

Pamoja na kupata Shahada ya Chuo Kikuu kwa mkopo toka HESLB bado kiingereza changu kina UKUNGU na ulimi bado mzito ajabu. Napata kigugumizi kikali nikijaribu kuongea kiingereza. Lawama nimtupie nani kati ya hawa?
1. Baba wa Taifa; kwa kuamua kiswahili iwe lugha ya taifa;
2. Mzazi wangu kwa kunipeleka shule za kayumba;
3. Mwalimu wangu wa Shule ya Msingi Muungano;
4. Ama NIJILAUMU mwenyewe kwa kutojibisha kupata maarifa kwa lugha Tajwa? kutwa kusoma migazeti ya udaku kwa kiswahili, na aina ya marafiki nilionao wasio leta changamoto yoyote.
5. Waziri mwenye dhamana!!!
1480275843207.jpg


Mcheki bwana mkubwa uyo
 
Hata cha kuombea maji ujui mkuu sasa hiyo shahada umechukua vp presentation's ulikuwa unafanyiwa au ulikuwa unatumia mbinu zp mkuu kujieleza mbele ya umati lugha hii iliyokuja kwa ndege+meli .
 
Ingia English course
English course hv zinasaidia kweli au.kupoteza muda

Nilipomalizaga form six nikasema.wacha nijionheze,duuh

Kule wacha waende wasio.jua kabisa ENGLISH

Ila kwa mtu na degree yako,yataka.moyo
 
You are not alone on behalf of my self and Magogoni there we will cry together
Isn't it ?
 
English course hv zinasaidia kweli au.kupoteza muda

Nilipomalizaga form six nikasema.wacha nijionheze,duuh

Kule wacha waende wasio.jua kabisa ENGLISH

Ila kwa mtu na degree yako,yataka.moyo

Ni kweli kiongozi kule ni kwa kuanzia tu kwa watu wa primary hata sekory hawezi kuelewa kitu, kama unadegree kikubwa ni kukutana na hawa jamaa weupe unakuwa na unaongea nao bila uoga, Kinachotusumbua tunafikiri kwa kiswahili kwanza badala ya kufikiri kwa kiingereza wakati unaongea na mtu.
 
Ni kweli kiongozi kule ni kwa kuanzia tu kwa watu wa primary hata sekory hawezi kuelewa kitu, kama unadegree kikubwa ni kukutana na hawa jamaa weupe unakuwa na unaongea nao bila uoga, Kinachotusumbua tunafikiri kwa kiswahili kwanza badala ya kufikiri kwa kiingereza wakati unaongea na mtu.
Hapo na mm huwa pananipa tabu,kufikilia kwa kingereza

Hii lugha bhana ina watu wao..nakumbuka tulipewa suspension chuo baada ya mgomo,ile barua ya mkandala hakika iliandikwa kwa kingereza ambacho n ballaaa

Ila kusoma kingereza n rahisi swala kuongea

Mm naongea kinhereza kama navyo andika ku,pronounce nako majangaaa
 
Pamoja na kupata Shahada ya Chuo Kikuu kwa mkopo toka HESLB bado kiingereza changu kina UKUNGU na ulimi bado mzito ajabu. Napata kigugumizi kikali nikijaribu kuongea kiingereza. Lawama nimtupie nani kati ya hawa?
1. Baba wa Taifa; kwa kuamua kiswahili iwe lugha ya taifa;
2. Mzazi wangu kwa kunipeleka shule za kayumba;
3. Mwalimu wangu wa Shule ya Msingi Muungano;
4. Ama NIJILAUMU mwenyewe kwa kutojibisha kupata maarifa kwa lugha Tajwa? kutwa kusoma migazeti ya udaku kwa kiswahili, na aina ya marafiki nilionao wasio leta changamoto yoyote.
5. Waziri mwenye dhamana!!!
Hoja yako inaweza kudharauliwa lakini kila mmoja wetu akijiweka kwenye nafasi yako inabidi ajisikitikie na ndio ataelewa kilichopelekea chuo kikubwa Tanzania kuipitisha lugha ya Kiswahili kawa official language yake. Nilichokuwa najiuliza ni kama kuna doctorate au uprofesa unaotolewa kwa Kiswahili duniani!
 
Hapo na mm huwa pananipa tabu,kufikilia kwa kingereza

Hii lugha bhana ina watu wao..nakumbuka tulipewa suspension chuo baada ya mgomo,ile barua ya mkandala hakika iliandikwa kwa kingereza ambacho n ballaaa

Ila kusoma n kingereza n rahisi swqla kuongea

Mm naongea kinhereza kama navyo andika ku,pronounce nako majangaaa

Kiongozi ukitaka kukifahamu vizuri mpaka ukae na hawa jamaa wiki moja tu bila kiswahili tosha kabisa, Arusha wapo wengi sana kwenye mahoteli makubwa.
 
Back
Top Bottom