Sijui kiingereza, nimlaumu nani?

Sijui kiingereza, nimlaumu nani?

and 998 others

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2012
Posts
28,218
Reaction score
39,698
Pamoja na kupata Shahada ya Chuo Kikuu kwa mkopo toka HESLB bado kiingereza changu kina UKUNGU na ulimi bado mzito ajabu. Napata kigugumizi kikali nikijaribu kuongea kiingereza. Lawama nimtupie nani kati ya hawa?
1. Baba wa Taifa; kwa kuamua kiswahili iwe lugha ya taifa;
2. Mzazi wangu kwa kunipeleka shule za kayumba;
3. Mwalimu wangu wa Shule ya Msingi Muungano;
4. Ama NIJILAUMU mwenyewe kwa kutojibisha kupata maarifa kwa lugha Tajwa? kutwa kusoma migazeti ya udaku kwa kiswahili, na aina ya marafiki nilionao wasio leta changamoto yoyote.
5. Waziri mwenye dhamana!!!
 
Pamoja na kupata Shahada ya Chuo Kikuu kwa mkopo toka HESLB bado kiingereza changu kina UKUNGU na ulimi bado mzito ajabu. Napata kigugumizi kikali nikijaribu kuongea kiingereza. Lawama nimtupie nani kati ya hawa?
1. Baba wa Taifa; kwa kuamua kiswahili iwe lugha ya taifa;
2. Mzazi wangu kwa kunipeleka shule za kayumba;
3. Mwalimu wangu wa Shule ya Msingi Muungano;
4. Ama NIJILAUMU mwenyewe kwa kutojibisha kupata maarifa kwa lugha Tajwa? kutwa kusoma migazeti ya udaku kwa kiswahili, na aina ya marafiki nilionao wasio leta changamoto yoyote.
5. Waziri mwenye dhamana!!!
Jilaumu mwenyewe kwasababu kuna uliosoma nao na uliowazidi elimu wanakijua vizuri sana.
 
Ulitaka ukatumia WAP lugha hio MBONA ujilaumu kutokujua kihaya,au kinyakyusa
 
Laumu elimu uliyopata kuanzia Madrassa/Sunday School, Seminari na vyuo vya dini. Huko msisitizo unakuwa utakatifu na historia ya walioleta dini na mashua na kobazi badala ya maarifa na Lugha za kimataifa.
Wewe hata haujui kama kanisa ndio muasisi wa elimu Tanzania and Africa hizo shule za kanisa serikali ilizozitaifisha wakati wa uhuru ndio zilizowafundisha wapigania uhuru hivyo jitafakari utashi wako kuhusu mchango wa kanisa kwenye elimu, afya na maendeleo kwa ujumla.
 
Kamakiingereza nikipimo cha akili basi mtoto mwenyeemwaka Miaka kumi marekani anaaakili kushinda Dr wa chemistry bongo
 
Kwani kujua ki English ni lazima mbna hata yule bichwa hajui unahangaika na ki inglishi wakati kiswahili chenyewe tunaongea cha hovyo hvyo
 
Pamoja na kupata Shahada ya Chuo Kikuu kwa mkopo toka HESLB bado kiingereza changu kina UKUNGU na ulimi bado mzito ajabu. Napata kigugumizi kikali nikijaribu kuongea kiingereza. Lawama nimtupie nani kati ya hawa?
1. Baba wa Taifa; kwa kuamua kiswahili iwe lugha ya taifa;
2. Mzazi wangu kwa kunipeleka shule za kayumba;
3. Mwalimu wangu wa Shule ya Msingi Muungano;
4. Ama NIJILAUMU mwenyewe kwa kutojibisha kupata maarifa kwa lugha Tajwa? kutwa kusoma migazeti ya udaku kwa kiswahili, na aina ya marafiki nilionao wasio leta changamoto yoyote.
5. Waziri mwenye dhamana!!!
Jilaumu mwenyewe kutozaliwa mamtoni ambapo wanatumia lugha hiyo kama lugha ya taifa...kwa anayezaliwa huko mamtoni hahitaji kujifunza...unakijua tu kama kiswahili ulivyokijua kupitia jamii unayoishi.
 
Back
Top Bottom