Sijui kiingereza, nimlaumu nani?

Sijui kiingereza, nimlaumu nani?

Kiongozi ukitaka kukifahamu vizuri mpaka ukae na hawa jamaa wiki moja tu bila kiswahili tosha kabisa, Arusha wapo wengi sana kwenye mahoteli makubwa.
Yeah sure,sema.muda nao mkuu,wengine warishauli hata kutazama.moves zao sana.....ila tatizo muda


Kama hv tupo safarin,unakaa hapa siku chache tena safar kaz kweli kweli


Kikiwa na uhitaji zaid nitakikazia msuli,ila sasq my b kwa mbwembwe tuu
 
Yeah sure,sema.muda nao mkuu,wengine warishauli hata kutazama.moves zao sana.....ila tatizo muda


Kama hv tupo safarin,unakaa hapa siku chache tena safar kaz kweli kweli


Kikiwa na uhitaji zaid nitakikazia msuli,ila sasq my b kwa mbwembwe tuu

Mkuu moves ni uongo, waongoza watalii ni std 7 lakini anaongea mpaka unaogopa kutaja elimu yako mbele yake japo lugha siyo kigezo, Kweli time ni changamoto sana kiongozi.
 
Kiingereza kisistizwe kwenye MAPINDUZI YA VIWANDA ili tusiachwe nyuma katika idara za MASOKO ya KIMATAIFA.
 
Naamini kuwa ujachelewa una muda mwingi wa kuendelea kujifuza kiingereza, mbinu mbadala siyo kwenda darasa umri umeenda, Anza kutafuta vitabu vilivyoqndikwa Kwa lugha ya kiingereza tumia dictionary so utaongeza misamiati, Anza kupendelea kusikiliza na kuangalia news kwenye vyombo vya Habari. Unaweza kuanza kuangalia TV za kiafrica ni rahisi kuelewa kuna uganda Kenya Nigeria etc. Kila neno sentesi unalotaka kaongea tafsir Kwa kiingereza, mdogo mdogo hakuna kisicho wenzekana
Matatizo ya kuongea kiingereza yapo Kwa watu wengi sababu ni elimu tuliyopata ya msingi, shule ya msingi kiingereza kinafundishwa na mtu aliyepata Division 4 Kwa enzi hizo hata mwenyewe hayupo ujuzi WA hiyo lugha. Ni Asili ya mtu mwenyewe uko shule ya msingi kujuwa kiingereza.
 
Wewe una kashahada alafu unapata mawazo??

Kuna wenzako wanakuzidi elimu na hawajui kabisa hiyo lugha!
 
Mbona kuna MTU ana PhD huku hajui kiingereza hata cha kuombea maji
Usijali unaweza hata kuwa Rais bila kujua kiingereza
 
Ni utovu wa nidhamu wako kwa sababu lugha Mama ndio ilio kuhalibu
 
Haina haja ya kujiaumu au kumlaumu yeyote wakati Rasi Simba yupo
 
Pole sana. Laumu vyote hivyo.
 
Inaonesha umesoma enzi za "miligo" basi mlaumu yeye na ikibidi mfungulio mashitaka katika mahakama mpya ya walioshindwa kutumikia wananchi
 
Unafiki kitu kibaya sana!! Yaani ukisoma comments unaweza kuamini kwamba wewe na wengine wachache ndio tatizo. Hudhuria interview ndio utajua kuwa hii lugha si yetu. Dakika kumi unaona kama mwaka. Chezea kiingilishi wewe!!!
 
Mbona kuna MTU ana PhD huku hajui kiingereza hata cha kuombea maji
Usijali unaweza hata kuwa Rais bila kujua kiingereza
Acha kumdanganya mwenzako, unaweza vp kuwa Rais bila kujua ki English?
 
Kwan kmekusaidia nn toka umejua au kutokujua??? Mbona simu yako umeiseti kwa kiingereza,,,weka kiswahili uone mtiti wake
 
Back
Top Bottom