Sijui kiingereza, nimlaumu nani?

Sijui kiingereza, nimlaumu nani?

Anza kuongea kwanzia sasa iv ata kama ni broken we ongea tuuuu
Kuwa kama mke wa uchebe wee ongea tuuu bila aibu mwisho Wa Sikh utajikuta unakijua..... Hamna aliezaliwa anajua
 
Hapo ni wewe mwenyewe kama wewe ni wa 80s . Pili pia serikali zote kwa ujumla maana Nyerere alistaafu '85 lakini hakuna mabadiliko au uboreshaji wa sekta ya elimu sio tu kwa lugha ya kiingereza hata kiswahili.
 
Chuo kikuu kuna mkataba, kweli ulikosa kutafuta vitabu kwa miaka yote uliyokuwa hapo? Hujachelewa, jifunze!
 
Jilaumu mwenyewe maana mpaka sasa unazidi kufifisha ndoto zako. Na utu uzima wako unaweza kujifunza hata sasa, chukua hatua!
 
Pamoja na kupata Shahada ya Chuo Kikuu kwa mkopo toka HESLB bado kiingereza changu kina UKUNGU na ulimi bado mzito ajabu. Napata kigugumizi kikali nikijaribu kuongea kiingereza. Lawama nimtupie nani kati ya hawa?
1. Baba wa Taifa; kwa kuamua kiswahili iwe lugha ya taifa;
2. Mzazi wangu kwa kunipeleka shule za kayumba;
3. Mwalimu wangu wa Shule ya Msingi Muungano;
4. Ama NIJILAUMU mwenyewe kwa kutojibisha kupata maarifa kwa lugha Tajwa? kutwa kusoma migazeti ya udaku kwa kiswahili, na aina ya marafiki nilionao wasio leta changamoto yoyote.
5. Waziri mwenye dhamana!!!
natamani kwenda kusoma tena M.A lakini nikifikri kuhusu lugha nakata tamaa kabsaaa
 
Pamoja na kupata Shahada ya Chuo Kikuu kwa mkopo toka HESLB bado kiingereza changu kina UKUNGU na ulimi bado mzito ajabu. Napata kigugumizi kikali nikijaribu kuongea kiingereza. Lawama nimtupie nani kati ya hawa?
1. Baba wa Taifa; kwa kuamua kiswahili iwe lugha ya taifa;
2. Mzazi wangu kwa kunipeleka shule za kayumba;
3. Mwalimu wangu wa Shule ya Msingi Muungano;
4. Ama NIJILAUMU mwenyewe kwa kutojibisha kupata maarifa kwa lugha Tajwa? kutwa kusoma migazeti ya udaku kwa kiswahili, na aina ya marafiki nilionao wasio leta changamoto yoyote.
5. Waziri mwenye dhamana!!!
Amini kuwa kiingereza unajua, ndo maana umeweza kufika hadi chuo kikuu. Hiyo shida ya kushindwa kuongea ni kutokana na kuto practice, Ukienda uingereza kwa muda wa wiki moja tu utarudi hapa Tz ukiwa very fluent.
 
Back
Top Bottom