Sijui kama nitaingia kwenye ndoa kama wanawake wenyewe ndio hawa

Wakuu habari za jioni?

Kama tittle inavyosema huyu ni mke wa mtu nilikuwa napiga zamani ila nikaamua kumuweka pembeni lakini bado haelewi somo anasema bora ndoa yake ivunjike ila sio kuachana na mimi halafu nilikutana nae kwenye pub moja hivi ni mwanamke mzuri vibaya mnooo.

Asee mimi mwenyewe sijui kama nitaingia kwenye ndoa kama wanawake wenyewe ndo hawa👇👇 mimi siwezi asee alafu mme wake anajiweza sana wana life good sana sana sasa shida itakuwa kitandani.

Kama unajijua unaenda Mbeya leo muda huu kufanya kazi asee pole ndugu yangu huyu ndo mke wako👇👇👇

View attachment 2978369
Mkuu,
Technology imekua Sanaa 😊 sisi sio milima sisi Ni people tunatakutana..........

Usipende ku expose vitu vyako ovyo ovyo utajuta one day

Sikutishi nakwambia kwa Nia njemaa
 
Wakuu habari za jioni?

Kama tittle inavyosema huyu ni mke wa mtu nilikuwa napiga zamani ila nikaamua kumuweka pembeni lakini bado haelewi somo anasema bora ndoa yake ivunjike ila sio kuachana na mimi halafu nilikutana nae kwenye pub moja hivi ni mwanamke mzuri vibaya mnooo.

Asee mimi mwenyewe sijui kama nitaingia kwenye ndoa kama wanawake wenyewe ndo hawa👇👇 mimi siwezi asee alafu mme wake anajiweza sana wana life good sana sana sasa shida itakuwa kitandani.

Kama unajijua unaenda Mbeya leo muda huu kufanya kazi asee pole ndugu yangu huyu ndo mke wako👇👇👇

View attachment 2978369
Inasikitisha sana ukila mke wa mtu na wako ataliwa tu
 
Mzee mi na kuunga mkono maana ata mimi nimekutana na hizi mi niliacha kazi kwa sababu ya kumchapa mke wa boss wangu.. japo iliuma maana nmekula mara mbili tu nikaharibu kazi... Kiufupi dunia ya kuoa sio hii labda ijayo
 
Wakuu habari za jioni?

Kama tittle inavyosema huyu ni mke wa mtu nilikuwa napiga zamani ila nikaamua kumuweka pembeni lakini bado haelewi somo anasema bora ndoa yake ivunjike ila sio kuachana na mimi halafu nilikutana nae kwenye pub moja hivi ni mwanamke mzuri vibaya mnooo.

Asee mimi mwenyewe sijui kama nitaingia kwenye ndoa kama wanawake wenyewe ndo hawa mimi siwezi asee alafu mme wake anajiweza sana wana life good sana sana sasa shida itakuwa kitandani.

Kama unajijua unaenda Mbeya leo muda huu kufanya kazi asee pole ndugu yangu huyu ndo mke wako

View attachment 2978369
huingii kwenye ndoa kwa ajili ya mtu,ni kwa ajili ya amri ya Mungu
 
Wakuu habari za jioni?

Kama tittle inavyosema huyu ni mke wa mtu nilikuwa napiga zamani ila nikaamua kumuweka pembeni lakini bado haelewi somo anasema bora ndoa yake ivunjike ila sio kuachana na mimi halafu nilikutana nae kwenye pub moja hivi ni mwanamke mzuri vibaya mnooo.

Asee mimi mwenyewe sijui kama nitaingia kwenye ndoa kama wanawake wenyewe ndo hawa👇👇 mimi siwezi asee alafu mme wake anajiweza sana wana life good sana sana sasa shida itakuwa kitandani.

Kama unajijua unaenda Mbeya leo muda huu kufanya kazi asee pole ndugu yangu huyu ndo mke wako👇👇👇

View attachment 2978369
Heeee umeshindwa kabisa kujikaza kiume
 
Kula kisela then vunga, Sasa hapo unawapa pressure wadau wote wanaoenda mbeya kikazi Leo na wameacha madem zao.
 
Back
Top Bottom