sijui kama jf wanaliona hili

rosemarie

JF-Expert Member
Mar 22, 2011
6,887
3,412
Kwa muda mfupi niliokaa hapa jf mimegundua na kujifunza mambo mengi,naomba yachukuliwe kama personal opinion!!!!!!

Nimegundua ni ngumu jf kupiga hatua nyingine mbele kirahisi,kuna mambo mengi yamenisukuma kuandika haya,kwa mfano kuna member wamenisahauri niwe na id zaidi ya moja,eti wengine wana id mpaka tano,ninajiuliza swali moja,kwa nini member wawe na id nyingi??jibu nalopata member wanapenda jf lakini vilevile wanaogopa kupigwa ban,kwa hiyo akipigwa ban id yake anatumia nyingine,sijui kama fb owners wameliona hilo,matokeo yake jf wanahesabu members waliokuwa registerd kwenye database,kumbe wanaweza kumwesabu member mmoja mara 5, lakini wanafikiri ni 5 members,kwa utaratibu huo jf wanaweza sema wana member 30,000 lakini ukirudi kwenye ukweli member wanaweza kuwa nusu ya hao,kwa sababu watu wamerigister more than once.kubalini hiyo challenge,kwa nini iwe hivyo???

Ningependa kuona jf inaprogress na kuwa kama skype hata mbele ya safari owner wanaweza kuitia sokoni kama skype ilivyouzwa kwa microsft kwa 8.5bil usd,walianza vizuri lakini walikubali challenge,

Dunia yetu sasa hivi inaelekea kuwa kijiji kidogo sana,yaani kuwasiliana na mtu aliye Australia ukiwa Tanzania ni jambo dogo sana,vile veli mtu akiwa marekani au brazil mnawasiliana kama yuko karibu sana,tafuteni strategy itakayowafanya mjulikane haraka,microsft sasa inahaha inataka kukamata kila mahali,wakija Africa watataka kitu kama jf,mkiweza kuwauzia mtapata hela nyingi sana na ni matumaini yangu mtatengeza oppotunite kubwa kwa watanzani
Jaribuni kuuza share,mkitangaza nitapenda kuisoma hiyo setup yenu,kama imekaa vizuri nafikiri nitaweza kutumbukia.

Lakini sio rahisi kiviiiiiiiiiiiiiiiiiiile!!
Thank you
 
Kwa muda mfupi niliokaa hapa jf mimegundua na kujifunza mambo mengi,naomba yachukuliwe kama personal opinion!!!!!!

Nimegundua ni ngumu jf kupiga hatua nyingine mbele kirahisi,kuna mambo mengi yamenisukuma kuandika haya,kwa mfano kuna member wamenisahauri niwe na id zaidi ya moja,eti wengine wana id mpaka tano,ninajiuliza swali moja,kwa nini member wawe na id nyingi??jibu nalopata member wanapenda jf lakini vilevile wanaogopa kupigwa ban,kwa hiyo akipigwa ban id yake anatumia nyingine,sijui kama fb owners wameliona hilo,matokeo yake jf wanahesabu members waliokuwa registerd kwenye database,kumbe wanaweza kumwesabu member mmoja mara 5, lakini wanafikiri ni 5 members,kwa utaratibu huo jf wanaweza sema wana member 30,000 lakini ukirudi kwenye ukweli member wanaweza kuwa nusu ya hao,kwa sababu watu wamerigister more than once.kubalini hiyo challenge,kwa nini iwe hivyo???

Ningependa kuona jf inaprogress na kuwa kama skype hata mbele ya safari owner wanaweza kuitia sokoni kama skype ilivyouzwa kwa microsft kwa 8.5bil usd,walianza vizuri lakini walikubali challenge,

Dunia yetu sasa hivi inaelekea kuwa kijiji kidogo sana,yaani kuwasiliana na mtu aliye Australia ukiwa Tanzania ni jambo dogo sana,vile veli mtu akiwa marekani au brazil mnawasiliana kama yuko karibu sana,tafuteni strategy itakayowafanya mjulikane haraka,microsft sasa inahaha inataka kukamata kila mahali,wakija Africa watataka kitu kama jf,mkiweza kuwauzia mtapata hela nyingi sana na ni matumaini yangu mtatengeza oppotunite kubwa kwa watanzani
Jaribuni kuuza share,mkitangaza nitapenda kuisoma hiyo setup yenu,kama imekaa vizuri nafikiri nitaweza kutumbukia.

Lakini sio rahisi kiviiiiiiiiiiiiiiiiiiile!!
Thank you
huu mkwanja akiupata dogo Melo lazima aoe Coaster zima......
 
Not sure how much money these guys are making so far, ndo maana bado wanapitisha
bakuri kuomba omba pesa, Wanalazimika kuthink business zaidi.

is there anything of this kind coming from Kenya, Uganda, they might think to go east africa
as an internationaliation strategy.

Otherwise, this is a business material and I can put here some money
 
ni ngumu sana kuregulate multiple ID ndo maana hata ndani ya Facebook kuna users wana ID zaidi ya moja..

halafu nadhani members wanakuwa na ID zaidi ya moja kwa sababu nyingi ikiwemo kuwa na uhuru wa kupost mawazo tofautitofauti..
 
Back
Top Bottom