Nazjaz JF-Expert Member Jan 20, 2011 7,684 8,832 Jun 9, 2011 #2 na sumu inaongezeka, mbona twafa mwaka huu!!!!!!!!!
Ringo Edmund JF-Expert Member May 10, 2010 4,879 1,125 Jun 9, 2011 #3 huyu wa michirizi hana noma kama yule wa kijani aka(ccm) yule gamba limeng"ang"ania na akilazimisha uhai wake ndio umefikia tamati.
huyu wa michirizi hana noma kama yule wa kijani aka(ccm) yule gamba limeng"ang"ania na akilazimisha uhai wake ndio umefikia tamati.
U Ulimakafu JF-Expert Member Mar 18, 2011 29,012 10,652 Jun 9, 2011 #4 Kama vIle ile sinema ya anaconda.
S Sharo hiphop JF-Expert Member May 17, 2011 660 99 Jun 10, 2011 #6 anakuwa mkali zaidi maana anakuja na ANGUKA ZAIDI.(Usisahau kuwa ANGUKA= A:ri zaidi NGU:vu zaidi KA:si zaidi inatisha mazee
anakuwa mkali zaidi maana anakuja na ANGUKA ZAIDI.(Usisahau kuwa ANGUKA= A:ri zaidi NGU:vu zaidi KA:si zaidi inatisha mazee
chapaa JF-Expert Member Feb 19, 2008 2,351 203 Jun 11, 2011 #7 Salam kwa makamba,chenge,rostam.........................!!!!!!!!
Chimunguru JF-Expert Member May 3, 2009 10,678 4,349 Jun 11, 2011 #8 Dah tena anakuwa kijana upyaaa na sumu inakuwa kali zaidi du CCM watatuua sasa hivi
trachomatis JF-Expert Member Jun 7, 2011 3,758 736 Jun 12, 2011 #9 Hii misemo inabidi yeyote anayeibuni na kuitoa aangalie na tafsiri zake mbalimbali hapo baadaye maana ina tafsiri tofauti kutegemea na anayesikiliza.
Hii misemo inabidi yeyote anayeibuni na kuitoa aangalie na tafsiri zake mbalimbali hapo baadaye maana ina tafsiri tofauti kutegemea na anayesikiliza.