sijui kama ishakuja humu but i like this

sijui kama ishakuja humu but i like this

Easymutant

R I P
Joined
Jun 3, 2010
Posts
2,564
Reaction score
1,135
255598_10150224206562356_615442355_7035697_3530563_n.jpg

brand new snake....
 
na sumu inaongezeka, mbona twafa mwaka huu!!!!!!!!!
 
huyu wa michirizi hana noma kama yule wa kijani aka(ccm)
yule gamba limeng"ang"ania na akilazimisha uhai wake ndio umefikia tamati.
 
anakuwa mkali zaidi maana anakuja na ANGUKA ZAIDI.(Usisahau kuwa ANGUKA=
A:ri zaidi
NGU:vu zaidi
KA:si zaidi
inatisha mazee
 
Salam kwa makamba,chenge,rostam.........................!!!!!!!!
 
Dah tena anakuwa kijana upyaaa na sumu inakuwa kali zaidi du CCM watatuua sasa hivi
 
Hii misemo inabidi yeyote anayeibuni na kuitoa aangalie na tafsiri zake mbalimbali hapo baadaye maana ina tafsiri tofauti kutegemea na anayesikiliza.
 
Back
Top Bottom