sijui kama ishakuja humu but i like this

Easymutant

R I P
Jun 3, 2010
2,564
1,129
255598_10150224206562356_615442355_7035697_3530563_n.jpg

brand new snake....
 
huyu wa michirizi hana noma kama yule wa kijani aka(ccm)
yule gamba limeng"ang"ania na akilazimisha uhai wake ndio umefikia tamati.
 
anakuwa mkali zaidi maana anakuja na ANGUKA ZAIDI.(Usisahau kuwa ANGUKA=
A:ri zaidi
NGU:vu zaidi
KA:si zaidi
inatisha mazee
 
Salam kwa makamba,chenge,rostam.........................!!!!!!!!
 
Dah tena anakuwa kijana upyaaa na sumu inakuwa kali zaidi du CCM watatuua sasa hivi
 
Hii misemo inabidi yeyote anayeibuni na kuitoa aangalie na tafsiri zake mbalimbali hapo baadaye maana ina tafsiri tofauti kutegemea na anayesikiliza.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom