Sijui kama halijenda kufa lile!!?

Sijui kama halijenda kufa lile!!?

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚halafu anaweza kulalama kwamba alitumia nguvu nyingi kumpiga na mito hivyo kachoka.

Tena anachubuka. Maana kama mtu anampiga mwizi na mto anahisi amemuumiza unaweza kuona alivyo mlaini .
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]halafu anaweza kulalama kwamba alitumia nguvu nyingi kumpiga na mito hivyo kachoka.
Sasa BAK unategemea nini kama hadi T-shirt kavua? Yaani kampiga hadi joto akaamua kuvua T-shirt aitundike begani[emoji28]
 
  • Kicheko
Reactions: BAK
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Sasa BAK unategemea nini kama hadi T-shirt kavua? Yaani kampiga hadi joto akaamua kuvua T-shirt aitundike begani[emoji28]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom