Sijui hata nifanyaje?

Sijui hata nifanyaje?

Wanawake kama wewe wachache sana hongera endelea na moyo huo huo
Kuna muda natamani kuchepuka ila naogopa nitaleta maradhi ndan maana mpira mimi sitaki kutumia.Nimechagua kukomaa nae Mungu mwenyewe atatenda kitu
 
Hasira za nn? Kuzeeka utazeeka tu hata nisipokuambia, ni suala la muda tu hutakuwa na soko, hutamuona wa kukulipa pesa ili umpe uchi. Huo ndo ukweli hata kama huupendi.

Kuhusu mm inawezekana nimeshazeeka na nimeona wengi kama ww sasa hivi wana uzee wa tabu kweli sababu walidhani watafanya biashara ya uchi kwa muda mrefu.
JIPANGE KAMA BADO UNA NGUVU.
Tulia wewe! Watu kama nyie mnastahili kushinda nyumba za ibada..hayo mawaiza yako ni kaz bure hapa..mie ndo mama mwenye gar na mida siyo mrefu biashara ananifungulia kwa mkono wake...unataka nini zaid?
 
Tulia wewe! Watu kama nyie mnastahili kushinda nyumba za ibada..hayo mawaiza yako ni kaz bure hapa..mie ndo mama mwenye gar na mida siyo mrefu biashara ananifungulia kwa mkono wake...unataka nini zaid?
Akili yako haielewi. Nyumba ya ibada imetoka wapi. Ninachokwambia unakuja wakati utazeeka na kukosa soko na hakutakuwa na wa kukupa gari wala hela UJIPANGE LA SI HIVYO UTAISHI KWA TABU SANA.

hayo mengine yote porojo.
 
Bora we mpenz ...mwenzio mume wa ndoa.Nilisema nitampendaga hukohuko kumbe ndo nimeshindwa jumla.Siyo kwamba anapesa kama wako ...noo Mimi kinachoshika hapa ni upendo wake tu yaan sijawahi on a upendo kama huu kiukweli
Sasa hapo akikuuzi kidogo ndoa chali tena unaivunja bila ya huruma. Wanawake wapewe uhuru wa kutongoza teh teh
 
Kuna muda natamani kuchepuka ila naogopa nitaleta maradhi ndan maana mpira mimi sitaki kutumia.Nimechagua kukomaa nae Mungu mwenyewe atatenda kitu
Yaaani ukichepuka ndani ndiyo utaona chefu kabisa, yaani utabaki hili nalo sijui vipi?
 
Akili yako haielewi. Nyumba ya ibada imetoka wapi. Ninachokwambia unakuja wakati utazeeka na kukosa soko na hakutakuwa na wa kukupa gari wala hela UJIPANGE LA SI HIVYO UTAISHI KWA TABU SANA.

hayo mengine yote porojo.
Muache mtu aishi maisha yake bhna!! Me sion sabab ya ww kumjudge, anatumia nafas yake vizuri😂😂
 
Muache mtu aishi maisha yake bhna!! Me sion sabab ya ww kumjudge, anatumia nafas yake vizuri😂😂
Mm sijamjudge. Sijamwambia asitumie nafasi yake. Nimemwambia wakati unakuja hatakuwa na soko hivyo ajipange.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom