Sijui hata nifanyaje?

Sijui hata nifanyaje?

Basi rudisha gari lake uchape lapa.

Nimejaribu kuvaa viatu vya jamaa kiukweli imeniuma sana.

Kwa upuuzi huu kuolewa utakusikia kwenye njozi.

Nyambaafu....z@ko.
Pole heeheee maishaa hayana usawa
 
Nimehongwa gar bila kad lakin inanisaidia sana mjini hapa..kinachonifanya nije hapa ni kuwa aliyenihonga gar nikifanya naye mapenzi yaan sisikii ladha kabisa..navuta hisia kabisa nikiweka akili yangu kuwa nafanywa lakin wap sioni ladha..raha ya kufanywa haipo..ja mwanaume mwwnyewe kajaliwa vizuri anajituma hadi kuninyonya lakin mie sijui hata inakuaje?

Moyo wangu umekubali kabisa niwe naye kwasabu ndo kama hivo kanihonga lakn huku chini hapana ushirikiano kabisa..
Nifanyaje? Maana gar sina mpango wa kulirudisha na kuna mambo kibao kaniahidi?

Hii nilipeleleza tu sina ushahid nao japo hao wote kaamua kunipa mie gar lake analotembeleaga yeye kabak anadandia magar ya ndugu zake tu kwasabu yapo hapo nyumban

Wewe hujampenda huyo!
 
Mie mwenyewe karma...rizik ya mtu ipo mikononi mwa mtu...pesa za maskini ndiyo mali ya tajiri lol
May b kama una K kubwa na jamaa kadyudyu kadogooo lakini kama dyudyu inatosha na inasugua vyema walahi ladhaa utaisikiliziaa mpaka kwenye Ubongoo..

Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
 
Naililia Jamii Forum ya wakati ule ambapo ilikua nadra sana kukutana na mada za hivi, ulihitaji ushahidi na hoja zenye nguvu kuchangia mada za hapa ila sasa majukwaa yote yamejaa mada za hivi tu ,uhodari na usahihi wa taarifa haupo tena hapa,
Since 2012

Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
Kwahyo we unatakaje labda kwa mfano
 
Sitaki kuolewa naye lol! Baya hiv nilipeleke wap? Kwanza anaonekana mhongaji akinioa si atakua anahonga tu huko nje?
Jibu unalo tayari!! Umesema jamaa mbaya na huwez olewa naye,, hyo ndo sababu inafanya usiwe na hisia nae
 
Bora we mpenz ...mwenzio mume wa ndoa.Nilisema nitampendaga hukohuko kumbe ndo nimeshindwa jumla.Siyo kwamba anapesa kama wako ...noo Mimi kinachoshika hapa ni upendo wake tu yaan sijawahi on a upendo kama huu kiukweli
 
Bora we mpenz ...mwenzio mume wa ndoa.Nilisema nitampendaga hukohuko kumbe ndo nimeshindwa jumla.Siyo kwamba anapesa kama wako ...noo Mimi kinachoshika hapa ni upendo wake tu yaan sijawahi on a upendo kama huu kiukweli
Halafu wewe ndio humpendi?
 
Kwasababu wote mnatumiana, vumilianeni. Cha kufanya, ww timiza anachohitaji ili upate uliyoahidiwa. What goes around, comes around.
 
Kwasababu wote mnatumiana, vumilianeni. Cha kufanya, ww timiza anachohitaji ili upate uliyoahidiwa. What goes around, comes around.
Ntajitahid mpaka pape mambo yangu yatakapotulia...
 
Bora we mpenz ...mwenzio mume wa ndoa.Nilisema nitampendaga hukohuko kumbe ndo nimeshindwa jumla.Siyo kwamba anapesa kama wako ...noo Mimi kinachoshika hapa ni upendo wake tu yaan sijawahi on a upendo kama huu kiukweli
Aseeee hii hali kumbe ipo tu! Unakabiliana nayo vipi sasa..hata mie naonyeshwa upendo hasa na nataman nionyeshe pia ila huwez amin hata romance naye siwez
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom