jaap
JF-Expert Member
- Dec 25, 2018
- 5,344
- 7,101
Libaya kivipi halijui kuvaa au ubaya wake upo sehem gani? Kwan wakat una mkubalia hukumuona Kama ni libaya?Sitaki kuolewa naye lol! Baya hiv nilipeleke wap? Kwanza anaonekana mhongaji akinioa si atakua anahonga tu huko nje?


