Sijui hata nifanyaje?

Sijui hata nifanyaje?

Kwani lako? Sirudishi bhana weee kanipa mwenyewe
Samahani usinielewe vibaya ila ni kama umepangishiwa nyumba na boy wako then unaingiza wanaume wengine inaumizaga sana huuo jamaa amaekupenda ndio maana amekupa gari utumie alafu wewe unacheat au vaa viatu vyake... kaachini tafakari na wewe unasema hauna hisia naye za mapenzi

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Growth scale ya mahusiano ya kimapenzi.

1999 Youth.
Maneno matamu ya faraja, ahadi ya kufunga ndoa baada ya uchumba, kuonesha kujali panapo matatizo (Emotional support)

<2000 Youth.
Simu, pesa au gari ndio determinants za mapenzi. Asie na uwezo kuishi kwa uongo na ku black mail mwenzake.
 
Samahani usinielewe vibaya ila ni kama umepangishiwa nyumba na boy wako then unaingiza wanaume wengine inaumizaga sana huuo jamaa amaekupenda ndio maana amekupa gari utumie alafu wewe unacheat au vaa viatu vyake... kaachini tafakari na wewe unasema hauna hisia naye za mapenzi

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Sa ntafanyaje namie starehe nataka na gar nataka
 
Je unaweza kusikia raha ukilala na baba ako? Jibu ni hapAna

Wanaume wenzangu amini nawaambia zama zimebadilika mwanamke ukijaribu kumpa kila kitu kamwe hatakuja kuwa na hisia deep za kimapenzi na wewe maana hapo unakuwa km mzazi wake sio mpenzi wake.Hii ni saikolojia ndo inasema hivyo..

Saikolojia inasema wanawake wengi wana low self esteem by nature sasa na huu utandawazi tatizo limekuwa kubwa kupita zmn,enzi zile hamna internet.

Mwanamke mwenye low self esteem mnunulie pipi Atakupenda zaidi ya kumnunulia kiwanja au gari.Hili ni jambo muhimu sana wanaume kuzingatia mpe mwanamke thamani anayostahili otherwise atakuona mbu mbu mbu

Wanaume tumedhani ukimpa kila kitu mwanamke atakupenda ukweli ni kwamba inategemea anajiona ana thamani kiasi gani?ukiacha uzuri wao,wanawake wengi wanajiona wana thamani ndogo tena wengi kweli kweli sasa ukitaka kumpa kila kitu anakuona hili Jinga linawezaje kunipa kila kitu mwanamke mwenye thamani ndogo kama mimi???Hili litakuwa lina matatizo tu ngoja nilichunguze labda pua yake kubwa ndo sababu labda sababu sio mrefu sana labda sababu kibamia.Kwa thamani yake aamini km anaweza kupata mtu wa kumpa kila kitu....

Wanaume wengi wanaowapa kila kitu wanawake ndo wanaongoza kwa kukosolewa kwa mambo ya kijinga.Mwanamke kazoea anapewa 2000 ya nauli wewe unalala nae unampa 300k hivi unadhani atakupenda au atakuona mbu mbu mbu tu????

Km unaamua kumpa kila kitu mwanamke hakikisha ana high self esteem.Utanishukuru badae.
Umemaliza kila kitu
 
Umenichekesha..na huyu zoba wangu akijua hii fomula ataniacha walah!
😂😂😂😂 Daah wewe dada wamuita zoba kabisaa
Mara paap uyo njemba ndio mimi apa
"Na hii gari sikupi kumbe unanitukana namna hii"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom