careenjibebe
JF-Expert Member
- May 28, 2020
- 1,604
- 1,655
- Thread starter
- #221
Wala hata! Mie naomba ushauri nifanyaje nisikie raha?Kwahiyo unatulingishia au..!!
Wala hata! Mie naomba ushauri nifanyaje nisikie raha?Kwahiyo unatulingishia au..!!
Sijakeketwa kwa taarifa yakoInshort we bibi umekeketwa. CASE CLOSED
Unapenda dude kubwa kwasababu na wewe una bwawa kubwa ama?Najitahid hadi nalewa ili nichangamshe akili lakin wap yaan nikama nakula mkate mkavu tu..hlf nilivyoona dude kubwa nikaswma yes hapa nimefika ila sasa dah kila akinifanya sioni ladha kabisa
Mmmh kazi ipo..dunia hadaa ulimwengu shujaa!Bora we mpenz ...mwenzio mume wa ndoa.Nilisema nitampendaga hukohuko kumbe ndo nimeshindwa jumla.Siyo kwamba anapesa kama wako ...noo Mimi kinachoshika hapa ni upendo wake tu yaan sijawahi on a upendo kama huu kiukweli
Njoo ujaribu ukawaelezee wenzio wenye swali kama lakoUnapenda dude kubwa kwasababu na wewe una bwawa kubwa ama?
Hajaoa...kafa kaoza kwangu...najua jinsi ya kumhandle haez nikamata ila tu sisikii rahaHuyo ni mume wa mtu kapigwa lock.
Hutakaa usikie utamu siku zote.
Na gari atakupora one day atakapokufuma kule unaposkiaga raha.
Yaan asante sana we umenielewa nachotaka...walinishauri humu waliowengi ni mazwazwa wamejikita kunionea wivu utadhani gar lao yaani..JAMANI EEH MPENI USHAIRI AHISI RAHA AGEGEDWAPO.
Dada huu uzi ungeupeleka jf doctor kule hapa hamna wataalam
Kwa urahisi we copy hapa peleka kule ila hapa labda tatizo umeingizia mambo ya kuhongwa gari ndio maana mada imebadilika punguza ego bibie utapata ushauri mzuri kule.Yaan asante sana we umenielewa nachotaka...walinishauri humu waliowengi ni mazwazwa wamejikita kunionea wivu utadhani gar lao yaani..
Sijui wanahamishaji uzi? Au ni mpaka admin?