Sijui hata nifanyaje?

Sijui hata nifanyaje?

Daaah sasa mkuu kama hata romance nae huwezi najaribu kuimagine huyo jamaa ni mbaya kiasi gani aisee.
Unaishije na mtu usiempenda namna iyo
Apo kweli kila kazi ina ugumu wake pole ni changamoto kazini.
Kumbe kudanga nako kuna changamoto namna hii
Haaahaaa umenichekesha! Hiv nadanga eemh? Ndiyo buahna kila kaz na changamoto yake..
 
Hana mke kwa taarifa yako...mimba anataka kama leo anipe ila sasa mie akili kumkichwa...gar kaniazima kwwli lakn ndo mpaka nitakapoamua kumrudishia vinginevyo ni langu hili kasoro kadi tu
Sasa ngoja nikupe njia rahisi ya kupata kadi, achia kitumbua apige mimba alafu uone anavyotoa kadi kiraisi hutojuta lazima utakuja kunishukuru baadae
 
Libaya kivipi halijui kuvaa au ubaya wake upo sehem gani? Kwan wakat una mkubalia hukumuona Kama ni libaya?
Anavaa sana sema tu ni sura baya...siyo kiivo ila mie namuona mubaya tu..ni mtu kaanza kunifatilia tangu 2012 sema nimekuja kumkubal kwasabu nilikua mpweke na nyegez nikasema aah acha tu niliwe hapa...akaganda sasa doh
 
Sasa ngoja nikupe njia rahisi ya kupata kadi, achia kitumbua apige mimba alafu uone anavyotoa kadi kiraisi hutojuta lazima utakuja kunishukuru baadae
Sitak mimba yake nan azae mtoto mbaya aje apate tabu ukubwan?
 
Yangu ni mnato atar hata kibamia kinafit..tunao utalaam wetu watu wa pwan asali inatumika kirudisha palipolegea kama inabyorudisha kufunga kidonda..hlf mie huwa nadate naizigo mikubwa tu..angalia nyuzi zangu humi utajua..kipemsel cha nini mie nikikohoa tu chatoka?
Sasa mbona husomeki.. anyway endelea kuenjoy dyudyuu

Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
 
Haaahaaa umenichekesha! Hiv nadanga eemh? Ndiyo buahna kila kaz na changamoto yake..
😂😂 Ndio unadanga mkuu
Mi huwa nadhani wadada mnapata pesa kirahisi kwa kuhongwa kumbe bwana mnazitolea jasho pia 😂😂 yaani dudu la yuyu mpaka linakuchana afu na mtu humpendi wala hufurahii. We kweli unapenda gari tabu zote izo umo tu.
Kwahiyo usipopata gari hiyo ndo loss sasa kwenye business 😂😂
 
Ndio unadanga mkuu
Mi huwa nadhani wadada mnapata pesa kirahisi kwa kuhongwa kumbe bwana mnazitolea jasho pia yaani dudu la yuyu mpaka linakuchana afu na mtu humpendi wala hufurahii. We kweli unapenda gari tabu zote izo umo tu.
Kwahiyo usipopata gari hiyo ndo loss sasa kwenye business
Gar ninayo tayar siku nikilirudisha si ndo kwaheri yake? Rizk inakua kwishnay naanza upya kwingine
 
Huwezi enjoy maana upo kazini. Unauza mwili malipo gari. Vumilia tu ushughulikiwe mpaka pale utakapokosa soko. Maisha yanaenda kasi sana huna muda mrefu utazeeka vumilia na gari hilo. Utalikumbuka ukishakosa soko.
 
Huwezi enjoy maana upo kazini. Unauza mwili malipo gari. Vumilia tu ushughulikiwe mpaka pale utakapokosa soko. Maisha yanaenda kasi sana huna muda mrefu utazeeka vumilia na gari hilo. Utalikumbuka ukishakosa soko.
Huwez kuogopa kula maisha et kisa utakufa..kwan nisipolitumikia hilo gar sitozeeka? Achana na mimi wewe nenda katafute gar uhonge kina wema na wewe kabla hujazeeka nyu weee utaendelea kuangalia kwenye tv tu wenzio wanatumbua maisha..
 
Huwez kuogopa kula maisha et kisa utakufa..kwan nisipolitumikia hilo gar sitozeeka? Achana na mimi wewe nenda katafute gar uhonge kina wema na wewe kabla hujazeeka nyu weee utaendelea kuangalia kwenye tv tu wenzio wanatumbua maisha..
Hasira za nn? Kuzeeka utazeeka tu hata nisipokuambia, ni suala la muda tu hutakuwa na soko, hutamuona wa kukulipa pesa ili umpe uchi. Huo ndo ukweli hata kama huupendi.

Kuhusu mm inawezekana nimeshazeeka na nimeona wengi kama ww sasa hivi wana uzee wa tabu kweli sababu walidhani watafanya biashara ya uchi kwa muda mrefu.
JIPANGE KAMA BADO UNA NGUVU.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom