Scorpio Me
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 6,119
- 7,950
unakaa tabata? huyo mke hana mtoto? af ana short dreads? kama ndo huyo nitafute....
SAA hiyo ndio utajua.KY ndo nini mkuu
Vitu gani vinakufanya umtamani mume wa mtu.. Vitatu tu.hata mimi inanitokeaga kwa mtu ninaye mtamani, nikisema na mpenda nitakosea sababu nina mume ila kutamani kupo, na unatamani sawa sawa
Na kama hana pesa sjui itakuwajeutageuzwa mtaji mda si mrefu............
au kuna kitu mwilini mwaka anakishangaa hajawi kukiona kwa wengine
atazidi kumshangaaNa kama hana pesa sjui itakuwaje
Jang'ombeutageuzwa mtaji mda si mrefu............
au kuna kitu mwilini mwaka anakishangaa hajawi kukiona kwa wengine
Kuwa makini mkuu list ya Mh kigwangala ya kina delicious haijajaaa....Hapa jirani kuna mdada fulani ni mke wa mtu. Wamehamia juzi juzi tu, mara nyingi akiwa amekaa nje anaosha vyombo au anafua na mimi nikiwa nimepumzika kibarazani, huwa tuna-make eye contact sana,kwa sababu nyumba zimetazamana, mwanzoni nilidhani kuwa ni coincidence tu! ila nilikuja kugundua kuwa huwa anachukua muda mrefu sana kunitazama wakati nikiwa simuangalii, kwa sababu nikikutanisha nae tu macho huwa nagundua kuwa alikuwa ananitazama muda mwingi maana nakuta kazubaa kabisa na kaacha kufanya alichokuwa anafanya, halafu baada ya hapo huwa anakwepesha macho haraka sana na kuendelea na shughuli yake.
Kabla sijafanya maamuzi magumu naomba niwaulize kwanza wazoefu wa matukio kama haya, kwamba huyu ananifanisha na mtu au ananipenda..!