Sijui ananipenda huyu!

yolk

Senior Member
Jan 29, 2017
137
240
Hapa jirani kuna mdada fulani ni mke wa mtu. Wamehamia juzi juzi tu, mara nyingi akiwa amekaa nje anaosha vyombo au anafua na mimi nikiwa nimepumzika kibarazani, huwa tuna-make eye contact sana,kwa sababu nyumba zimetazamana,

mwanzoni nilidhani kuwa ni coincidence tu! ila nilikuja kugundua kuwa huwa anachukua muda mrefu sana kunitazama wakati nikiwa simuangalii, kwa sababu nikikutanisha naye tu macho huwa nagundua kuwa alikuwa ananitazama muda mwingi maana nakuta kazubaa kabisa na kaacha kufanya alichokuwa anafanya, halafu baada ya hapo huwa anakwepesha macho haraka sana na kuendelea na shughuli yake.

Kabla sijafanya maamuzi magumu naomba niwaulize kwanza wazoefu wa matukio kama haya, kwamba huyu ananifanisha na mtu au ananipenda..!
 
Ni mawazo yako tuu,ebu wacha kuka hapo nje uone kama atakufata kukuuliza kama mbona leo sijakuona nje, ringa kiume asikuchukulie poa ikiwa unahisi lakini what i know mwanamke kama anakutaka hata sms ungeshakua umepata sasa usifikirie vibaya mke wa mwenzio dhana mbaya..
 
Atakuwa anajiuliza huyu jamaa yeye kila siku kukaa kibarazani hakuna kazi anayofanya... atakuwa mwizi huyu...
 
Hapa jirani kuna mdada fulani ni mke wa mtu. Wamehamia juzi juzi tu, mara nyingi akiwa amekaa nje anaosha vyombo au anafua na mimi nikiwa nimepumzika kibarazani, huwa tuna-make eye contact sana,kwa sababu nyumba zimetazamana, mwanzoni nilidhani kuwa ni coincidence tu! ila nilikuja kugundua kuwa huwa anachukua muda mrefu sana kunitazama wakati nikiwa simuangalii, kwa sababu nikikutanisha nae tu macho huwa nagundua kuwa alikuwa ananitazama muda mwingi maana nakuta kazubaa kabisa na kaacha kufanya alichokuwa anafanya, halafu baada ya hapo huwa anakwepesha macho haraka sana na kuendelea na shughuli yake.

Kabla sijafanya maamuzi magumu naomba niwaulize kwanza wazoefu wa matukio kama haya, kwamba huyu ananifanisha na mtu au ananipenda..!
hata mimi inanitokeaga kwa mtu ninaye mtamani, nikisema na mpenda nitakosea sababu nina mume ila kutamani kupo, na unatamani sawa sawa
 
Udhaifu wa matamanio upo kote kote kwa wanawake na wanaume koz ni mke wa mtu nakusihi usiendele kumtega kz uta hatarisha ndoa yake wakati hauna nia nae zaidi ya kumtamani kimwili.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom