kamandawasua
JF-Expert Member
- Jun 6, 2013
- 326
- 86
Aisee mi nimesha KUpMNi pm tuongee vizur
Aisee mi nimesha KUpMNi pm tuongee vizur
Kama una kazi nzuri basi una fedha nzuri. Fanya hivi
1. Mtoe dinner lady unayemtaka.
2. Mpe pesa ya matumizi.
3. Mrushie vocha.
Tayari umemtongoza. Maneno matupu hayalambwi.
Ni pm tuongee vizur
Weka namba yako wazi fasterHehehee watu wanaotongoza kwa staili hii mbona huku mtaani kwetu hawapo?
Hofu + woga = impossible...
Na siku moja ukifanikisha hili.... Ukapata huyoo mwanamke...
Basi utaanzisha uzi wa kuomba jinsi ya kuomba show kwa huyo manzi...
Na siku ukifanikisha kupiga hiyo show... Am sure utaanzisha uzi mwingine wa kuomba msaada " kuhusu kumaliza after 5 seconds"
(hata mke/ mume walianza na uboyfriend / u girlfriend)
Wanawake wa siku hizi kwani ni wa kutongoza! Hata ukimsogelea tu unakuwa umeshamaliza kazi
Kama ulonae ulimsogelea tu bas c wote.
hapo unakuwa umemaliza kila kitu!!
Mkuu Gobe kwa mfano hapo kwenye bluu ningeomba ufafanue ni kwa nini utoke jasho ukiongea na wanawake? maana sote tunajua kuwa kutokwa na jasho tu ukiwa unaongea na mtu wakati hali ya hewa iko shwari basi tunajua kuna tatizo, na mara nyingi ni dalili ya hofu/uoga, je huwa una hofu/ogopa nini?
Nikiendelea zaidi naweza kusema pia uoga/hofu ya kufanya jambo fulani inatokana na inferiority complex(unyonge moyoni) yaani mtu anakuwa anajisema au kujiona yeye sio bora kuliko wengine(kujidharau) wakati sio kweli.
Watu watakupenda na kukuthamini pale tu utakapojipenda na kujithamini wewe kwanza. Hofu yako inajengwa na mtazamo wa kwamba mwenzako ni bora kuliko wewe na sio wewe ni bora kuliko mwenzako ndio maana unakuwa na mashaka na approach zako kwao.
ahahah nmetoka kupokea ujumbe sahivi " funguka bibie ule vyako mi ntakutunza ucjali' nafungua jamii forum naona huu uzi jaman maiaha yana raha yake bahna.
hama huko hamia huku kwetu utatuona.