Sijawahi kutongoza mpaka umri huu

Sijawahi kutongoza mpaka umri huu

Hongera kijana achana na wanaokuponda. Kutongoza ni kipaji km hauna somo ya hii mambo unaweza kujikuta unabakia si unajua siunajua. Kuna majambaz ya malovedave hawa kutongoza ni kawaida. Naomba usiwafuate hawa fuata roho yako inavyotaka. Kiukwel mm mwenyw kumpata shem wako nilimtumia rafiki yake ila alitaka nionane face to face siku hiyo nilijipanga siwez kusahau. Km mwanamke unampenda lzm uwe una uwoga fulan hivi.Njia nzur tumia rafiki zake wakutongozee. Siku ukikutana naye hauangaiki km kumsukuma mlev kweny mteremko.Tafuta mke au mchumba achana na kuchukua huyu au yule itakupotezea dira ya maisha nakupata HIV+
 
ZEERO?ulitakiwa ukafungwe ili ukitoka ujue namna gan wenzako wanafanyaga
 
kutokea inataka moyo, kiukweli hata mimi mara ya kwanza ilinipa tabu lakini nilivyoweza mara moja tu basi hofu yote ikanitoka na gari likawaka ilifika kipindi kwa siku natokea hata mademu 10 yote kujifurahisha tu huku nikijiona ni jinsi gani nilivyokuwa boya kuogopa kitu kidogo kama hicho, we jivike ujasiri tongoza, tena akheri yako wewe upo kwenye hizi zama za simu unaweza ku-call ukayajenga, mi kipindi hicho ilikuwa face to face yaani we acha tu Mkuu
 
kutokea inataka moyo, kiukweli hata mimi mara ya kwanza ilinipa tabu lakini nilivyoweza mara moja tu basi hofu yote ikanitoka na gari likawaka ilifika kipindi kwa siku natokea hata mademu 10 yote kujifurahisha tu huku nikijiona ni jinsi gani nilivyokuwa boya kuogopa kitu kidogo kama hicho, we jivike ujasiri tongoza, tena akheri yako wewe upo kwenye hizi zama za simu unaweza ku-call ukayajenga, mi kipindi hicho ilikuwa face to face yaani we acha tu Mkuu
Umenikumbusha mbali sana Boss,me nakumbuka nilipewa hadi special training ya namna ya kutongoza lkn kila nikikutana na baby mistari yote niliyofundishwa ina evaporate halafu moyo unadunda balaa.Usifanye mchezo na kutongoza wewe
 
Umenikumbusha mbali sana Boss,me nakumbuka nilipewa hadi special training ya namna ya kutongoza lkn kila nikikutana na baby mistari yote niliyofundishwa ina evaporate halafu moyo unadunda balaa.Usifanye mchezo na kutongoza wewe
yaani moyo unadunda unajihisi presha inapanda presha inashuka
 
Pole Gobe lakini mimi nadhani wewe ukimuona unayempenda unataka kumwambia X nakupenda akisema na mimi nakupenda pia utaendeleaje? Kwanza una mtaji tayari kwani una kazi yako tena nzuri kwani wasichana wanahitaji security hivyo ni vitu wanavyoangalia sasa jenga confidence. Halafu msalimie salimie tu unaempenda now and then ila pia angalia isiwe tooo much ( asije boeka mapema). Kuwa karibu nae soma Positive zake ( mind you usianze we mzuri) kama mnafanya nae kazi km ni mchapa kazi mpongeze kwa hilo, kama anawahi kazini mpongeze kwa hilo, kama kapendeza mpongeze kwa hilo etc. Endapo akihitaji msaada fulani wahi kumsaidia bila ya kuonyesha nia yoyote kwanza! Then mwalike breakfast lunch etc. mengine hujanga automatic! Kumbuka kuwa ( japo si lazima) msichana akikubali date yako ni dalili nzuri. All the best!
 
polepole ndio mwendo wakati wako bado mungu atakupa tu ujasiri
 
Bado ni kijana Mdogo sana tafuta maisha kwanza la sivyo unaweza kuforce mambo ukajitafutia ugonjwa wa moyo au maradhi. Wanawake wengi sa iv baadhi ni walaghai sana. Sio rahis kuelewa mambo haya kwa makin ila kikubwa mchunguze vizur sana mwanamke kabla ya kufaya maamuzi ya kumuoa vinginrlevyo utakuja juta.
 
Namba za simu unaweza kuomba.? Tuanzie hapo kwanza.
 
Back
Top Bottom