Sijawahi kutongoza mpaka umri huu

Sijawahi kutongoza mpaka umri huu

Gobe huwa unatoa post za kufa mtu humu jamvini+ kutoa maushauri ya mapenzi daah kumbe una weakness ndogo kiasi hichi! Staki kuamini
 
Last edited by a moderator:
Mimi ni mwanaume age 25 nina kazi tu nzuri lakini cha ajabu ata kutongoza bado naogopa wanawake sana.....yaani naweza tetemeka nkikutana nayo
wana MMU naombeni ushauri wenu maana naweza nkazeeka bila kupata mchumba. Nilishawahi fungua uzi wa jinsi ya kutongoza but mlinipa mbinu cha kushangaza practice ni ziro au nina tatizo?
NB: Nina maanisha(serious)
Khaa!! Hiyo kazi nzuri uliipataje bana??
 
we jitoe ufahamu kwa msichana yoyote yule. ila jipange pia uwe jasiri ndugu
 
Ccm mmetufikisha hadi hapa yaani mtu 25's hajui kutongoza halafu bado mnaona ni kitu cha kawaida hapa mabadiliko lazima yatokee

ccm out

Yaani mkuu inaskitisha sana Miaka zaidi ya 50 tangia uhuru CCM ndo imetufikisha hapa, wananchi wake hawajui kutongoza...
 
Khaaa!!!! Itabidi uingie kwenye guiness book of records.... Khaa!!! .....
 
Tafuta goto utongozwe wewe. Au kama wewe ni MENTALI, basi endelea kusubiri ZALI.

Hizo ngenye na umri huo, nahisi mpaka sasa 'bao za mkono' zishachana nyavu, mpaka mikono yako unaionea aibu kuitazama.

N.B: Kama hutaki usumbufu na viunzi ktk utongozaji, then go and pick up btches for quickies or one-night stand. Ama na hili nalo ni mpaka ufundishwe jinsi ya kulitekeleza?
 
Gobe huwa unatoa post za kufa mtu humu jamvini+ kutoa maushauri ya mapenzi daah kumbe una weakness ndogo kiasi hichi! Staki kuamini

msaidie mdau. katoa 'tangazo' kiaina uyo. Katumia 'ubunifu' flani ambao una-attract sympathy from ladies wenye 'huruma'. Teh teh
 
Watu hawajui kuwa kitu chochote usipokuwa na nia nacho huwezi kukitengea muda wa kukifanya.

Maelezo ya mkuu Gobe ukiyasoma katikati ya mistari utaona kuwa kitu anachotaka asaidiwe hakitaki ila anataka kufanya hivyo ili tu kujiridhisha kuwa na yeye ni sawa na vijana wengine.

Kwa umri huo anaona yeye kutokuwa na mpenzi ni habari na kwamba akijulikana atachekwa, kitu ambacho hakina mashiko.

Jiulize kama uliweza kupata ajira ambayo kwa mujibu wako umesema ni nzuri, uliipataje wakati kuna watu wana shahada za uzamili na wanatembea na bahasha kila siku kutafuta kazi ila hawapati?

Nimesema kuwa hicho unachokitaka hukitaki ndio maana hujaamua kukiahangaikia, na ukiona hivyo hakina umuhimu kwako kwa wakati huo. Kwahiyo nakushauri kwa kuwa unajitegemea acha maisha ya kuiga watu, badala ya kutongoza fanya kuchumbia kabisa uoe.

Introvert wengi huwa wagumu kwenye suala la kuanzisha mahusiano yasiyo na future kwa kuhofia kuharibu mipango yao au kukosa sababu ya kuanza kutongozea.

Kutongoza kunahitaji kujitoa ufahamu.
 
Last edited by a moderator:
Mimi ni mwanaume age 25 nina kazi tu nzuri lakini cha ajabu ata kutongoza bado naogopa wanawake sana.....yaani naweza tetemeka nkikutana nayo
wana MMU naombeni ushauri wenu maana naweza nkazeeka bila kupata mchumba. Nilishawahi fungua uzi wa jinsi ya kutongoza but mlinipa mbinu cha kushangaza practice ni ziro au nina tatizo?
NB: Nina maanisha(serious)


%s)[/QUOTE]



nakushauri kama mchungaji ubaki ivyivyo, iyo ni roho ya majini na mapepo yanayotaka uingie kwny mahsiano ili yapate nafasi ya kuharibu uchumi wako.
DON'T TRY TO ENTER JEHANUM, YOU WON'T COMEBACK
 
Mimi ni mwanaume age 25 nina kazi tu nzuri lakini cha ajabu ata kutongoza bado naogopa wanawake sana.....yaani naweza tetemeka nkikutana nayo
wana MMU naombeni ushauri wenu maana naweza nkazeeka bila kupata mchumba. Nilishawahi fungua uzi wa jinsi ya kutongoza but mlinipa mbinu cha kushangaza practice ni ziro au nina tatizo?
NB: Nina maanisha(serious)



nakushauri kama mchungaji ubaki ivyivyo, iyo ni roho ya majini na mapepo yanayotaka uingie kwny mahsiano ili yapate nafasi ya kuharibu uchumi wako.
DON'T TRY TO ENTER JEHANUM, YOU WON'T COMEBACK
 
Utampata saiz yako sema nao wanazengua mno akikuona kilaza anaweza kuchukua muamara kila siku
 
Back
Top Bottom