Sijawahi kutongoza mpaka umri huu

Sijawahi kutongoza mpaka umri huu

huna nyege ww ungekuwa nazo huu ujinga ungekutoka na kama unazo basi utakuwa mtumiaji Mzuri wa OMO
 
Nenda kwanza kanunue papuchi kona bar then mwambie akupe manjonjo yote aliyoyapata kwenye kazi yake. Baada ya hapo najua utajua tu kutongoza
 
Hata watoto wa shule unatetemeka kwa under 18? Wale ni chips tu basi unajifunzia hapo
NB: tumia ndom usijawapa mimba, jela ukawa yako
 
hahahahahaaaa Utakuwa bado ujabalehee pia.. alafu huendaa punyeto imekumalizaaa kama umebalehee....
 

asante ndugu nimelisoma lote nadhani kuna ukweli kabisaa

Kabla sijajitegemea nilikaa kwetu na msichana mmoja wa kazi baada ya kuondoka huyo msichana alimwambia baba yangu kuwa, mimi mwanaume wa ajabu sana naogopa wanawake na siongeagi naye kabisaa sasa but hilo nami nimeliona kama tatizo mkimya sana mpaka wale rafiki wangu wa karibu wananiambiaga nina tabia za ajabu. mf kukaa mwenyewe, si shirikiani nao, kuongea na wanawake jasho linanitoka nk kwa kifupi ndo ivyo........kama kuna njia ya kuchange pls naomba link nijifunze
 
Hapo tayari unatongoza jinsi ya kufundishwa kutongoza.
 
Mimi ni mwanaume age 25 nina kazi tu nzuri lakini cha ajabu ata kutongoza bado naogopa wanawake sana, yaani naweza tetemeka nikikutana nao.

Wana MMU naombeni ushauri wenu maana naweza nikazeeka bila kupata mchumba.

Nilishawahi fungua uzi wa jinsi ya kutongoza but mlinipa mbinu cha kushangaza.

Practice ni ziro au nina tatizo?

NB: Nina maanisha (serious)

Subiri kutongozwa shehh
 
Mimi ni mwanaume age 25 nina kazi tu nzuri lakini cha ajabu ata kutongoza bado naogopa wanawake sana, yaani naweza tetemeka nikikutana nao.

Wana MMU naombeni ushauri wenu maana naweza nikazeeka bila kupata mchumba.

Nilishawahi fungua uzi wa jinsi ya kutongoza but mlinipa mbinu cha kushangaza.

Practice ni ziro au nina tatizo?

NB: Nina maanisha (serious)

Wewe kama unageto waambie waje geto wakija muwe mtu beee tu hapo ukishindwa utakuwa ni wewe tu
 
asante ndugu nimelisoma lote nadhani kuna ukweli kabisaa

Kabla sijajitegemea nilikaa kwetu na msichana mmoja wa kazi baada ya kuondoka huyo msichana alimwambia baba yangu kuwa, mimi mwanaume wa ajabu sana naogopa wanawake na siongeagi naye kabisaa sasa but hilo nami nimeliona kama tatizo mkimya sana mpaka wale rafiki wangu wa karibu wananiambiaga nina tabia za ajabu. mf kukaa mwenyewe, si shirikiani nao, kuongea na wanawake jasho linanitoka nk kwa kifupi ndo ivyo........kama kuna njia ya kuchange pls naomba link nijifunze

Mkuu Gobe kwa mfano hapo kwenye bluu ningeomba ufafanue ni kwa nini utoke jasho ukiongea na wanawake? maana sote tunajua kuwa kutokwa na jasho tu ukiwa unaongea na mtu wakati hali ya hewa iko shwari basi tunajua kuna tatizo, na mara nyingi ni dalili ya hofu/uoga, je huwa una hofu/ogopa nini?

Nikiendelea zaidi naweza kusema pia uoga/hofu ya kufanya jambo fulani inatokana na inferiority complex(unyonge moyoni) yaani mtu anakuwa anajisema au kujiona yeye sio bora kuliko wengine(kujidharau) wakati sio kweli.

Watu watakupenda na kukuthamini pale tu utakapojipenda na kujithamini wewe kwanza. Hofu yako inajengwa na mtazamo wa kwamba mwenzako ni bora kuliko wewe na sio wewe ni bora kuliko mwenzako ndio maana unakuwa na mashaka na approach zako kwao.
 
Last edited by a moderator:
Hofu + woga = impossible...

Na siku moja ukifanikisha hili.... Ukapata huyoo mwanamke...
Basi utaanzisha uzi wa kuomba jinsi ya kuomba show kwa huyo manzi...

Na siku ukifanikisha kupiga hiyo show... Am sure utaanzisha uzi mwingine wa kuomba msaada " kuhusu kumaliza after 5 seconds"

(hata mke/ mume walianza na uboyfriend / u girlfriend)
 
Kama una kazi nzuri basi una fedha nzuri. Fanya hivi
1. Mtoe dinner lady unayemtaka.
2. Mpe pesa ya matumizi.
3. Mrushie vocha.
Tayari umemtongoza. Maneno matupu hayalambwi.
 
Back
Top Bottom