Sijawahi kutongoza mpaka umri huu

Sijawahi kutongoza mpaka umri huu

Nilijua 4,000,000/=byeeee

pita hivyoo na usirudi tena
mijitu mingine sijui vip uwe na miaka 25 mshahara M4 kwani mi nafanya kazi bungeni kama huna cha kuchangia pita ka kipofu sio lazima kufuka moshi kama treni ...... meniboa sana
ukue kiakili sio kimwili na kiumri
 
pita hivyoo na usirudi tena
mijitu mingine sijui vip uwe na miaka 25 mshahara M4 kwani mi nafanya kazi bungeni kama huna cha kuchangia pita ka kipofu sio lazima kufuka moshi kama treni ...... meniboa sana
ukue kiakili sio kimwili na kiumri

hahahahaaa mkuu, relax bhana. Usifure kiivo. Comments zingine huwa jokes tu ili ku-kill the time. chill up!
 
Hehehee watu wanaotongoza kwa staili hii mbona huku mtaani kwetu hawapo?


ahahah nmetoka kupokea ujumbe sahivi " funguka bibie ule vyako mi ntakutunza ucjali' nafungua jamii forum naona huu uzi jaman maiaha yana raha yake bahna.
 

Attachments

  • 1442686761695.jpg
    1442686761695.jpg
    36.5 KB · Views: 462
Kabla sijaoa nilikuwa nawakamatia kwenye daladala,ofsini na sometimes nikiwa stand kusubiri usafiri,nilikuwa nikiingia kwenye bus naangaza penye bint kama yupo mzuri najipendekeza kukaa nae siti moja kisha natulia japo dk10 kisha nauliza kama vile sijui nakoenda(japo sio mgeni)ili kujenga mazingira ya kufahamiana,aki-respond vizuri kwanza namsifia "ant una moyo mzuri sana,niliogopa ulivyo mzuri nikadhani nikikuuliza utanipa shit ila umenijibu vizuri(hapo lazima atabasamu),kimya kidogo kisha najitambulisha kisha ktk utulivu mkubwa namtaka naye ajitambulishe(akikataa usilazimishe kumjua atakufikiria vibaya)akikubali mnaendelea na story nyengine kisha ukiona bado kituo kimoja kufika ulipomuuliza unajifanya kukumbushia "dada me mgeni usisahau kuniambia gari ikifika nilipokuuliza",lazima atakwambia ni kituo kinachofuata,akiishakujibu we jifanye kutoa simu mwambie "dada ningefurahi kama ingewezekana tukapeana No za simu,sie binadam tunaweza'kuwa tunasalimiana na kujuliana hali siku nyengine",akikubali mpe asante we shuka nenda zako ila usisahau kumlipia nauli,kaa siku mbili tatu jifanye kumpigia kumsalimia,vingine utajiongeza.....note:sio wote watayakubali niliyoandika hapo,muhim ujiamini na hata akikupa shit usiwe mwepesi wa kupanic.mkuu Gobe tumia hii utuletee feedback,ikishindikana ntakupa nyengine..ila ukifanikiwa kumpata mfunge ndoa sikushauri kuzini kwani ni dhambi.
 
Last edited by a moderator:
pita hivyoo na usirudi tena
mijitu mingine sijui vip uwe na miaka 25 mshahara M4 kwani mi nafanya kazi bungeni kama huna cha kuchangia pita ka kipofu sio lazima kufuka moshi kama treni ...... meniboa sana
ukue kiakili sio kimwili na kiumri

Mbona povu jingi bobuuuuu...
Wee tafuta hela tu saka mahela Mwanaume yake mamilioni bobuuu..
 
pita hivyoo na usirudi tena
mijitu mingine sijui vip uwe na miaka 25 mshahara M4 kwani mi nafanya kazi bungeni kama huna cha kuchangia pita ka kipofu sio lazima kufuka moshi kama treni ...... meniboa sana
ukue kiakili sio kimwili na kiumri

teh teh teeeh.
 
nakushauri kama mchungaji ubaki ivyivyo, iyo ni roho ya majini na mapepo yanayotaka uingie kwny mahsiano ili yapate nafasi ya kuharibu uchumi wako.
DON'T TRY TO ENTER JEHANUM, YOU WON'T COMEBACK

wewe ni mchungaji wa nini kwanza??

huu ushauri ni pumba mpaka nimejihisi mimi ni kuku
 
nakushauri kama mchungaji ubaki ivyivyo, iyo ni roho ya majini na mapepo yanayotaka uingie kwny mahsiano ili yapate nafasi ya kuharibu uchumi wako.
DON'T TRY TO ENTER JEHANUM, YOU WON'T COMEBACK

Illovo,we ulivyokuja kutafuta mama mchungaji humu ndani ulikuwa Na pepo??
 
inawezekana mungu alikuwa na makusudi na wewe. kama umefikia unahtj mke ni sawa, lkn kama ni just bf na gf, ni hatari kwako kijana.
Mkumbuke Muumba Wako Wakati Wa Ujana Kabla Hazijaja Cku Mbaya.

Rejea Ile Mada Hapa *Kuna Aina 2 Za Ndoa,je Yako Ni Ipi?*

Mungu Akubariki Ktk Jina La Yesu Kristo.
By Pastor.
 
Puli imekuathiri sana bro acha hiyo kitu utapata ujasiri wa kutongoza.
 
Watu hawajui kuwa kitu chochote usipokuwa na nia nacho huwezi kukitengea muda wa kukifanya.

Maelezo ya mkuu Gobe ukiyasoma katikati ya mistari utaona kuwa kitu anachotaka asaidiwe hakitaki ila anataka kufanya hivyo ili tu kujiridhisha kuwa na yeye ni sawa na vijana wengine.

Kwa umri huo anaona yeye kutokuwa na mpenzi ni habari na kwamba akijulikana atachekwa, kitu ambacho hakina mashiko.

Jiulize kama uliweza kupata ajira ambayo kwa mujibu wako umesema ni nzuri, uliipataje wakati kuna watu wana shahada za uzamili na wanatembea na bahasha kila siku kutafuta kazi ila hawapati?

Nimesema kuwa hicho unachokitaka hukitaki ndio maana hujaamua kukiahangaikia, na ukiona hivyo hakina umuhimu kwako kwa wakati huo. Kwahiyo nakushauri kwa kuwa unajitegemea acha maisha ya kuiga watu, badala ya kutongoza fanya kuchumbia kabisa uoe.

Introvert wengi huwa wagumu kwenye suala la kuanzisha mahusiano yasiyo na future kwa kuhofia kuharibu mipango yao au kukosa sababu ya kuanza kutongozea.

Kutongoza kunahitaji kujitoa ufahamu.

We we ni intelligence kwa keel...
Introvert wako vipi more plssss
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom