Sijawahi kutoa mwanamke out

Sijawahi kutoa mwanamke out

Ubahiri unakusumbua mkuu, mbona wanaozitafuta hizo out wako kibao tu? Chagua mmoja na ukafurahie out yako, hata changudoa wewe beba tu!
 
Mimi huwa namtoa sana tu, ila anataka nimpeleke kwenye bei (viwanja matawi ya juu). Lakini huwa naudhika sana tukiwa out kwani anakuwa busy na facebook kama vile mimi ni hewa tu
 
Pesa sio tatizo, ni kuwa sikuwahi kutoa kipaumbele ktk hilona kwan lazima nianze mimikusema,mwanamke hawezikuniambia?
 
Mbona simple sana kumtoa mwanamke Out, chakufanya we mwambie demu wako asimame mlangon then ww ukiwa kwa ndani alafu msukumie nje,. Moja kwa moja utakuwa umemtoa Out.
 
Chakufanya we mwambie demu wako asimame mlangoni naww ukiwa kwa ndani. Then msukume atoke nje hapo moja kwa moja utakuwa umemtoa Out.
 
Pesa sio tatizo, ni kuwa sikuwahi kutoa kipaumbele ktk hilona kwan lazima nianze mimikusema,mwanamkeia? hawezikuniamb[/QUOTE]

Endelea kusubiri kuambiwa,anaweza akakwambia kwa matendo!
Omba ung'amue mapema!!!
 
Ulipokuwa mdogo familia yenu hamkuwa mnatolewa out? Inaweza kuwa sababu hujui raha ya outing! Sema kiTz noma sana ukimwambia mtu tukapate dinner ama lunch ujue mlipaji ni wewe. Yani majuu raha unamwalika mtu hotel na kila mtu anajilipia, inaongeza heshima pia no kuonana kama miungu watu
 
Back
Top Bottom