Mbona simple sana kumtoa mwanamke Out, chakufanya we mwambie demu wako asimame mlangon then ww ukiwa kwa ndani alafu msukumie nje,. Moja kwa moja utakuwa umemtoa Out.
...... Ngoja na mie nijiandae kumpokea mgonjwa!!!!!!!!
Hah!
Ndio nisubiri outing za msimu wa mavuno?
Mimi huwa namtoa sana tu, ila anataka nimpeleke kwenye bei (viwanja matawi ya juu). Lakini huwa naudhika sana tukiwa out kwani anakuwa busy na facebook kama vile mimi ni hewa tu
Nalima kilimo cha umwagiliaji we vipi??
Ndio maana nakuja kwako maana huna roho mbaya kwa wagonjwa wako .........
Unawapa huduma tu ....!!!!!!
Kamata songi hili:YouTube<a href="http://www.youtube.com/watch?feature=player_detailpag e&v=fMXVSOpvLFY" target="_blank">
Mchele wenyewe ulivyokuwa bei rahisi siku hizi........
Ukitoa gharama za ulimaji inayobaki itatosha outing kweli?
hahahaaa we Eiyer wewe mi sitoi huduma ovyo ujuee, mpaka mgonjwa awe kwenye critical condition teh teh... Itabidi uje kwenye chumba cha upasuaji kabla hujalazwa jamvini LOL!
wanawake acheni upuuumbaaavu bwana,tumechoka kuwawaza!
Unaishi nchi gani wewe?
Kwanza unaujua mpunga wewe?
Mpunga umeshuka lini bei?
Kilo ni zaidi ya buku 2 halafu unapiga mwela tu hapa
Navuna kilo 200000 kila nikilima au huujui mpunga hebu tupia macho hapa
Hapo mpunga unakaribia kuiva![]()
Hapo kwenye upandaji![]()
Hapa nikivuna![]()
Chezea mpunga wewe???
Huu mwaka mpya naona swagg mpya,full mapicha.
Yaani hapa niko kwenye kiritiko kondisheni hata hapa ananisaidia ku type jamaa yangu .......lol!!!!
Mademu wazuri wote utabakia kuwaita shemeji tu
Jana si ulimuimbisha bana?
Au unamkana leo??
don't take JF too serious..shauriloooh:coffee::coffee:
Hii hapa itakufaa
![]()