kifinga
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 5,249
- 9,577
kule juu hamna network mkuuInaruhusiwa na kupokea na kupiga simu ukiwa ndani ya ndege ?
kule juu hamna network mkuuInaruhusiwa na kupokea na kupiga simu ukiwa ndani ya ndege ?
Lipo mkuu, kuna vituo unanua hivyo alivyovitaja au hata vocha, karanga ,biskuti, azam colaHivi lipo hilo jambo? Yani tangia dunia kuumbwa kwake, iwe wewe ndiye binadamu wa Kwanza kulifanya, jambo hilo lipo kweli?
Tatuta uzi unasema USHAMBA MZIGO, SIKU YA KWANZA KUPANDA NDEGE. Huko watu wamefunguka sana na kunavichekesho vya hatari.Wakuu habari za leo.
Kichwa kinajieleza, sasa nataka kuvunja rekodi hii, naomba kufahamu A to Z, nikitaka kwenda Mwanza toka Dar, naanzaje?
Mkuu wewe ni CCM nini?ha ha ha aha tafuta laki tatu na elfu 20 nenda kwa wakala wa kukata tiketi za ndenge waambie nataka return tiketi ya mwanza kwa fast jet watakupa tiketi ya kwenda na kurudi.
Siku ya safari wahi saa moja kabla ya safari pale airport ubebe na kitambulisho chako chochote ukiwa na kupigia kura itakua vizuri zaidi then zingatia muda watu wa ndege wako makini na muda sana.
Baada ya maelezo hayo nakutakia safari njema usisahau kubeba simu yenye kamera kwa ajili ya kujipiga selfie ukiwa angani wanaruhusu usihofu na ukumbuke kuludi na ndoo ya samaki toka Mwanza
ha ha ha ha ha ha ni kweli mkuu mi ni kada mtiifu wa CCMMkuu wewe ni CCM nini?
Hahahahahahahahaaha ha ha aha tafuta laki tatu na elfu 20 nenda kwa wakala wa kukata tiketi za ndenge waambie nataka return tiketi ya mwanza kwa fast jet watakupa tiketi ya kwenda na kurudi.
Siku ya safari wahi saa moja kabla ya safari pale airport ubebe na kitambulisho chako chochote ukiwa na kupigia kura itakua vizuri zaidi then zingatia muda watu wa ndege wako makini na muda sana.
Baada ya maelezo hayo nakutakia safari njema usisahau kubeba simu yenye kamera kwa ajili ya kujipiga selfie ukiwa angani wanaruhusu usihofu na ukumbuke kuludi na ndoo ya samaki toka Mwanza
Fanya tuonane ukija mkuu na ningependa niwe mwenyeji wako hapa Mwanza.Shukrani sasa safari imeiva naamini ntafurahia sana japo sina ninachofuata Mwanza
Sijawahi mkuu, yani usafiri pekee wakuanda juu niliyowahi kutumia ni lift za majengo marefu ila safari hii lazima nipande ndege.Hedikopta umepanda?
Wakuu habari za leo.
Kichwa kinajieleza, sasa nataka kuvunja rekodi hii, naomba kufahamu A to Z, nikitaka kwenda Mwanza toka Dar, naanzaje?
Shukrani mkuu wewe ni KE?Fanya tuonane ukija mkuu na ningependa niwe mwenyeji wako hapa Mwanza.
Vilaza wote ni zao la CCM mkuuha ha ha ha ha ha ni kweli mkuu mi ni kada mtiifu wa CCM
ha ha ha ha ha lakini tukisema tuweke CV hapa mimi ni msomi zaidi yako na ukigundua mimi ni nani unaweza usinitanie milele ha ha haVilaza wote ni zao la CCM mkuu
Mkuu usomi wako unasaidia familia yako, labda ni gundue kuwa wewe ni Mungu hapo nitaogopa sana lakini kama unaenda haja kubwa kama mimi hakuna shida twende kazi.ha ha ha ha ha lakini tukisema tuweke CV hapa mimi ni msomi zaidi yako na ukigundua mimi ni nani unaweza usinitanie milele ha ha ha
ha ha ha ha ha niko kwenye taasisi inayosaidia watanzania wengi kama wewe kuwatoa tongo tongo ningependa ningekua na cheo kikubwa sana but i choose to die with a title of mwalimMkuu usomi wako unasaidia familia yako, labda ni gundue kuwa wewe ni Mungu hapo nitaogopa sana lakini kama unaenda haja kubwa kama mimi hakuna shida twende kazi.
Ninaamini kwa asilimia mia moja ukifanikiwa kutua Mwanza utarudi kwa basi..Shukrani sasa safari imeiva naamini ntafurahia sana japo sina ninachofuata Mwanza
Utakuwa mwalimu wa UPE.ha ha ha ha ha niko kwenye taasisi inayosaidia watanzania wengi kama wewe kuwatoa tongo tongo ningependa ningekua na cheo kikubwa sana but i choose to die with a title of mwalim
Taratibu taratibu atazoea ha ha ha ha ha ha angepata safari ya kwenda mbali kama CHINA au Australia ange enjoy zaidiNinaamini kwa asilimia mia moja ukifanikiwa kutua Mwanza utarudi kwa basi..
Ndege inapoanza kuruka au kutua lazima upoteze network kidogo. Hili naloulifahamu.. Mpaka uwe sugu inabidi upande mara kwa mara..